ayman makoye
Member
- Jan 3, 2017
- 13
- 33
MASHUJAA WASIOJULIKANA!
Yumo Dkt Michael , kwa tatizo lililonisumbua zaid ya miaka 2 yeye nimekutana nae mara 1 tu, akaniangalia usoni kisha akaniuliza maswali kidogo tu kuhusiana na changamoto yangu!
Baada ya hapo akaniambia
"Nakupatia hizi dawa, nenda katumie kwa mda wa mwezi mmoja baada ya mwezi urudi hapa!".
Sijaamini nimepona, licha ya kutumia dawa mbalimbali pamoja na kukutana na madaktari zaidi ya 8 ambao nao kwa nafasi zao wamejitahidi Sana kunisaidia niwashukuru pia, ila the destination was good.
Nilikua na shida ya ya uvimbe kwenye njia ya haja kubwa sijui ndo wanaita bawasri,Pia tumbo lilikuaa linajaa gas sana mda mwingine nilkuwa sipati choo au nikpata choo kinatoka kgumu kama cha mbuzi, Kwenye njia ya haja kubwa sasa hapo ndo balaa lipokuwa maana palkua panauma na kuwaka moto n.k
Dkt Michael ni daktari bingwa wa Mfumo wa chakula .
Mungu amuweke.
Yumo Dkt Michael , kwa tatizo lililonisumbua zaid ya miaka 2 yeye nimekutana nae mara 1 tu, akaniangalia usoni kisha akaniuliza maswali kidogo tu kuhusiana na changamoto yangu!
Baada ya hapo akaniambia
"Nakupatia hizi dawa, nenda katumie kwa mda wa mwezi mmoja baada ya mwezi urudi hapa!".
Sijaamini nimepona, licha ya kutumia dawa mbalimbali pamoja na kukutana na madaktari zaidi ya 8 ambao nao kwa nafasi zao wamejitahidi Sana kunisaidia niwashukuru pia, ila the destination was good.
Nilikua na shida ya ya uvimbe kwenye njia ya haja kubwa sijui ndo wanaita bawasri,Pia tumbo lilikuaa linajaa gas sana mda mwingine nilkuwa sipati choo au nikpata choo kinatoka kgumu kama cha mbuzi, Kwenye njia ya haja kubwa sasa hapo ndo balaa lipokuwa maana palkua panauma na kuwaka moto n.k
Dkt Michael ni daktari bingwa wa Mfumo wa chakula .
Mungu amuweke.