Mashujaa Wapya Wazaliwa ndani ya CCM.

Mashujaa Wapya Wazaliwa ndani ya CCM.

Nape na Bashe ni viongozi wanaojua mipaka ya utendaji bahati mbaya John beer na Daud Albert Bashite bado wanahisi wako machungani wanachungulia makalio ya ng'ombe.
 
Mtu akijiuzulu maana yake kiongozi wa nchi ndo ana shida yeye tu?hamjiongezi kua anaejiuzulu anaweza kua ana shida kubwa na sasa anaukimbiaa moto,mnaangalia upande m1 tu msioupenda kwa mawazo yenu
 
Nape amekuwa binadamu sana.
Utu uzima. Alijitoa sana kwenye kampeni, unakumbuka alipata mpaka ajali. So kwa sasa kajifunza kitu. Ile kauli ya MSEMA KWELI NI MPENZI WA MUNGU imemuingia sana.
 
Watanzania wachache mlioguswa na vita ya madawa mnakelele utadhani mnafika hata laki tano!msitusemee,tunamacho,masikio na akili za kuona nani anatufaa na nani anapiga zumari!tunajua mnataka ushindi wa kumg'oa Makonda ili biashara zenu ziendelee,Mshindwe kwa jina la Yesu!!!!!!
 
Nape kajiuzulu?
Hapana bali kamkata jongoo kwa meno fuatilia report ya kamati aliyoiunda na msimamo wake ! Wateuzi wa RC been put on spot kijanja janja na Nape yeye keshatimiza wajibu wake kazi kwa Pm na president kujipima tena !
 
Watanzania wachache mlioguswa na vita ya madawa mnakelele utadhani mnafika hata laki tano!msitusemee,tunamacho,masikio na akili za kuona nani anatufaa na nani anapiga zumari!tunajua mnataka ushindi wa kumg'oa Makonda ili biashara zenu ziendelee,Mshindwe kwa jina la Yesu!!!!!!
Weka akili yako vizuri ndg tueleze Daud alifuata nini
Clouds TV usiku hiyo ni vita ya madawa??
Je alitaka watangaze nini usiku huo??
Wacha kushabikia wehu maana hutaeleweka!!
 
Back
Top Bottom