Mashtaka ya ugaidi Tabora yafutiliwa mbali, Henry Kilewo na wenzake 4 huru kwa tuhuma hizo

imefika wakati serekali ianze kuwajibika kwa matendo ya kizembe ya watumishi wake, nani atamlipa Henry muda wake uliopotea na gharama alizotumia mke wake kusafiri dar tabora kweli yule mke wake nilimuonea huruma sana na wanawake wote wanaoteseka kufuatilia waume zao waliobambikiwa kesi.
 
tatizo DPP na Mwiguru Savimbi wamesomea magogoni, kawa kawaida yao CCM kama uzao wa panya, Baba Mwizi, Mama mwizi na watoto wezi, walitaka kuiba haki za watu na mateso juu. Tulianza na Mungu tutamaliza na Mungu. Ona sasa Tendwa naye Kafutwa, hili ni pigo kubwa kwa Mwiguru anayetaka kuleta ajira kwa vijana wa Greenguard kwenye Bunge lijaro. Awawahi kabla ya kuathirika na sembe za mbunge mwenzake , Mzee wa Magari , Mzee wa Matamasha.
 
Hili uliloandika angalau umetumia akili yako mwenyewe na sina shaka kuwa ukiendelea kuwa objective kiasi hiki utakuwa mzalendo muda si mrefu.

Jitahidi sasa kumshauri naibu katibu mkuu wako aache kuichafua nchi na kuiumiza kiuchumi kwa sababu ya kutaka kutimiza matamanio yake ya kisiasa. Mchumi gani mjinga huyo asiyweweza kujua athari za ugaidi kwa uchumi wa nchi.
Mimi sishikiwi akili na mtu naongea ninachokiamini kama wewe unamuona Ritz, wa ivyo hizo ni fikra zako siwezi kuzizuia.
 
Last edited by a moderator:
DPP ni desa. Sina hakika kama halifauru vizuri sheria chuoni! Bila shaka alipata shahada ya propaganda na sio sheria! Ni aibu kwa taifa. Ndio sababu Kikwete aliwahi kusema nchi haina wanasheria competent wakati akizungumia masuala ya mikataba.
 
Ni Ushindi wa Haki dhidi ya Dhuluma. Ni Ushindi wa Nuru dhidi ya giza. Na Mungu ataendelea kumuumbua Mwigulu mchana kweupe na Udhalimu wake kama alivyomfanza juzi kwenye kikao chavWana-Iramba ambacho alijikuta anaudhura yeye, familia yake, Ma-houseboy na Ma-housegirl wake na nyumba ndogo wake mmoja. Dadadadadeq! Mungu hadhihakiwi.

Inabidi hawa jamaa wapewe elimu kuhusu ugaidi. Yaani kila kitu wanadhani ni ugaidi na kupoteza muda na pesa za mahakama na mafuta ya kuwasafirisha watuhumiwa kama vile ni magaidi kweli.
Wakawaulize USA walionzisha hizi sheria za magaidi kama kweli hayo mashtaka waliyofunguliwa Kilewo yanakaribiana na ugaidi kweli!? Nadhani jela za USA zingejaa kwa magaidi aisee!

kama baba unakuwa na roho mbaya kama NChemba unategemea unawarithisha watoto wako kitu gani, ua unategemea watakuwa na roho ya upendo kwa binadamu wengine, ubaya tunaowanyia wengine leo hauishii kwetu bali unaishi mpaka kwa vizazi vyetu vijavyo, usimtendee mwenzako kitu usicho taka kutendewa. haya mambo ya vyama yasitusauylishe tuka sahau utu wetu,

Mungu ni mwema wakati wote kwake kila kitu kinawezekana.

HIvi hawa watu wakiachiwa huwa serikali inawalipa (compensate) kwa kuwasweka ndani bila sababu??

Nafikiri ni wakati wa Mkurungezi wa mashitaka kuachia ngazi. Kama anapeleka mahakamani kesi za kusingizia watu kila kikicha halafu zinaonekana hazina mbele wala nyuma then inaonyesha ni jinsi gani uwezo wake ulivyo mdogo. Mkurugenzi wa mashitaka anashindwaje kuona kuwa hii ni kesi si ugaidi wakati laymen kama sisi tunaweza.

Haiwezekani tukawa tunapoteza tax payers kiasi hiki kwa watu kushindwa kufanya kazi zao.


Mwenye CV ya DPP naiomba tafadhali.

Hii ni aibu tosha kwa Jakaya Kikwete, aliwaambia wana-CCM pale Dodoma eti Mwigulu ndiye anayewaweza CHADEMA. Matokeo yake akamfanya Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara. Hivi ni kweli kwamba JK hajui reputation ya CCM ndani na nje ya nchi? Hadi kuchagua na kuwashabikia watu O.V.Y.O. na T.A.KA TA.KA kama Mwi.g.u.lu? kukiongoza chama!

Anawachukua kina Nepi, kina Tembo laga kukiongoza chama? Hivi ni kweli kwamba CCM imekosa watu wakukionesha chama staha yake, hadi ateuwe watu vicha.ka hawa. Wananu.ka UVUNDO kila sehemu ya maungo yao kwa tuhuma kedekede, kuanzia wizi, rushwa, ubadhirifu, UFISADI, ukware na ubakaji (yamkini, hata ulawiti), UHUNI, uzandiki, udhulumati, ulimbukeni,WATU wasio na hofu kabisa ya Mungu, wang'oa kucha na meno ya watu pasipo ganzi, wauza na wanunuzi wa viungo vya albino, wanyhwa damu za watu(vampire), magaidi, na kila uovu uu ju yao.

Damu za watu wasio na hatia zimebaki mikononi mwao. Damu hiyo haitatoka milele hata wangeoshwa kwa maji yooote ya bahari ya Atlantiki.

Hiyo, ndiyo CCM ya JK na Lowasa na Rostam Aziz waliyohakikisha wanaiunda hata kwa gharama zozote. NA HAKIKA wamefanikiwa!

MASIKINI CCM, u wapi uzuri wako!
 
Dah!Afadhali aisee, Gereza la Uyui halifai lile bora ulisikie tu, tuliwahi kuishi jirani na gereza hilo kwakweli tunayajua machungu ya wafungwa wake.
 
Mkuu Mwita Maranya waache tu waendelee kumkumbatia huyu gaidi, mzushi muuaji mwigulu kwa kudhani wamepata kumbe wamepatikana. Jamaa huyu ni wa hovyo sana na ni mtu hatari sana nchini kwa mambo anayoyafanya ya kutaka kuwaharibia watu mbali mbali na familia zao maisha yao kwa kuwabambikizia kesi mbaya sana kwa kutumia ushahidi fake.

Hili uliloandika angalau umetumia akili yako mwenyewe na sina shaka kuwa ukiendelea kuwa objective kiasi hiki utakuwa mzalendo muda si mrefu.

Jitahidi sasa kumshauri naibu katibu mkuu wako aache kuichafua nchi na kuiumiza kiuchumi kwa sababu ya kutaka kutimiza matamanio yake ya kisiasa. Mchumi gani mjinga huyo asiyweweza kujua athari za ugaidi kwa uchumi wa nchi.
 
Last edited by a moderator:
Sijaelewa mkuu Tumaini Makene, wamefutiwa mashitaka ya ugaidi tu au wameachiwa huru kabisa?

Ni kweli kabisa, ni vizuri hilo likawekwa wazi. Mkuu Makene, baada ya shamra shamra za ushindi huu dhidi ya unyonyaji, ukandamizaji, uzandiki, undumilakuwili na ubeberu wa serikali na vyombo vyake vya dola, tunaomba urudi kutoa maelezo ya kina kuhusu hukumu hii.

cc: Tumaini Makene
 
Mimi sishikiwi akili na mtu naongea ninachokiamini kama wewe unamuona Ritz, wa ivyo hizo na fikra zako siwezi kuzizuia.
Kaa pembeni wewe usie hata na chembe ya aibu! Kwani Mohamed Saidi alikurudishia lini akili yako? Hata hii "comment" ya sheria ya ugaidi uliyoitoa hapa sio yako bali ni mawazo ya shetani Mohamed Saidi.
 
Ni aibu zaidi tu na nimwendelezo wa sauti zinazopazwa na wanaoenewa. Hakika mwisho wa siku bwana nchemba atajikuta ameachwa peke yake na ndo kafala kwa CCM na km yumo humu ndani basi ajue hvyo ni bora akajiudhuru na cheo chake ama achague kubwagwa 2015 kwny uchaguzi vingnevo anatolewa kafala.
 
Hii ni aibu tosha kwa Jakaya Kikwete, aliwaambia wana-CCM pale Dodoma eti Mwigulu ndiye anayewaweza CHADEMA. Matokeo yake akamfanya Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara. Hivi ni kweli kwamba JK hajui reputation ya CCM ndani na nje ya nchi? Hadi kuchagua na kuwashabikia watu O.V.Y.O. na T.A.KA TA.KA kama Mwi.g.u.lu? kukiongoza chama!

Anawachukua kina Nepi, kina Tembo laga kukiongoza chama? Hivi ni kweli kwamba CCM imekosa watu wakukionesha chama staha yake, hadi ateuwe watu vicha.ka hawa. Wananu.ka UVUNDO kila sehemu ya maungo yao kwa tuhuma kedekede, kuanzia wizi, rushwa, ubadhirifu, UFISADI, ukware na ubakaji (yamkini, hata ulawiti), UHUNI, uzandiki, udhulumati, ulimbukeni,WATU wasio na hofu kabisa ya Mungu, wang'oa kucha na meno ya watu pasipo ganzi, wauza na wanunuzi wa viungo vya albino, wanyhwa damu za watu(vampire), magaidi, na kila uovu uu ju yao.

Damu za watu wasio na hatia zimebaki mikononi mwao. Damu hiyo haitatoka milele hata wangeoshwa kwa maji yooote ya bahari ya Atlantiki.

Hiyo, ndiyo CCM ya JK na Lowasa na Rostam Aziz waliyohakikisha wanaiunda hata kwa gharama zozote. NA HAKIKA wamefanikiwa!

MASIKINI CCM, u wapi uzuri wako!
mkuu waadilifu ndani ya ccm wapo, ila wamekaa pembeni na kuwaachia wahuni chama chao!
 
"Walianza na Mungu wamemaliza na mungu"
Mungu ni mkubwa, 2015 si mbali ukweli utabainika tu.
 
Naomba kujua jinsia yako ni ME,KE au unazo zote mbili? maana huu ugolo unaotupia hapa utakuwa dumejike wewe.

Kama huna cha maana cha kuandika kaa kimya badala ya kuandika kashfa/kejeli. Pumba zako katafute mahali pa kuzipeleka si hapa JF.
 
DPP anatutia aibu wasomi, inakera sana sisi wasomi kukubali kutumika na wanasiasa kwa maslahi binafsi na ya Wanasiasa, ..............

Hasa sisi wenye taaluma ya sheria huu ni upuuzi kabisa inabidi ajiuzulu. Sijawahi ona wanasheria wa serikali wajinga kama TANZANIA.
 
Hivi mbona hizi makama zinamwonea sana Mwigulu Nchemba? Kila kesi anayopika inapigwa chini tu?
.

Anatumia tumbo badala ya ubongo; tatizo la kupita darasani kama n'gombe kupita katika josho lisilo na dawa akaondoka na kupe wake wazima!!
 
Back
Top Bottom