Mbona na wewe humalizii unalo takakusema?
watakuja wataalamu mkuu,, but me huwa nahisi ni maumbile wanazaliwa na homoni za kike
Umeona wapemba ndiyo wa kusema acha chuki binafsi isije ikawa kabila lenu ndiyo mashoga wenyewe mimi ninavo juwa wa pemba mabasha jiyangaliye kijana
Kwanini unaogopa kusema sema tuu, kama lilivyo mbona ndoa zimesha ruhusiwa sasa waogopa nini kuniuliza? yes ninaloOk samahani bhana bora ulivyokuja mwenyewe, namaanisha wew unatatizo hilo hapo juu wanalongelea??
Wadau naomba mnisaidie ni nini kinachowashawishi watu wa jinsia moja kujiingiza katika mahusiano ya mapenzi kinyume na maagizo ya Mungu? Na wanapata faida gani wanapofanya hivyo?