Mashoga sasa rukhsa jeshi la Marekani

Wale si wateule, bali walikuwa wateule, lakini wakaasi. kwa hiyo nao ni kama watu wengine. Soma muhtasari wa imani yao kwenye post 103.
aaaahn kumbe ! mwelekezeni basi jamaaa anaitwa OCTOBER, maana humu hatupumui kwa Thread za Wayahudi ! Quran imewachanachana sana Tu !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…