babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 15,939
- 20,231
Niko hapa steshen(si ya mwakyembe)nasubiri treni niende hm.mara nageuka kushoto naona kuna vijana wawili wamekumbatiana kweli kweli.sikushtuka sana nikidhani ni mtu na bibi yake hawajakutana muda ndo wamekutana.ktk geuka geuka nawaona wote kwasura na wana ndevu za kufamtu.bado wamekumbatiana na wanakula denda km vile wameambiwa la mwisho mwisho
Nilipogundua hilo nikaishia kusikitika tu.ila najua ingekua bongo wale wangekula viboko vibaya sana
Anyway ndo maisha tuliyopo.w-end njema
Nilipogundua hilo nikaishia kusikitika tu.ila najua ingekua bongo wale wangekula viboko vibaya sana
Anyway ndo maisha tuliyopo.w-end njema