Mashine za nafaka

Mashine za nafaka

Sungura dume

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2016
Posts
574
Reaction score
529
Nauza mashine za kukoboa, kusaga, na kukamulia alizeti mwenye kuitaji ani pm tufanye biashara.
 
Zipo wapi?ongeza nyama kwenye bandiko na ni vizuri ukatuwekea na tupicha
Zipo msata kiangaiko
IMG_20170618_144751.jpg
IMG_20170618_144734.jpg
IMG_20170618_144722.jpg
 
Nicheck pm mkuu kwa mawasiliano zaidi ili tuyajenge
Mkuu ulianza vizuri lakini sasa ukubwa unakushinda,
Nini kinakulazimisha uwapeleke watu Pangoni Mkuu (PM) wakati biashara umeitangaza kwa wote? weka mambo hadharani kila mtu ajipinde mwenyewe
Samahani km nimekukwaza
 
Mkuu ulianza vizuri lakini sasa ukubwa unakushinda,
Nini kinakulazimisha uwapeleke watu Pangoni Mkuu (PM) wakati biashara umeitangaza kwa wote? weka mambo hadharani kila mtu ajipinde mwenyewe
Samahani km nimekukwaza
Moja ya vitu nachukia ni maswala ya kuleta biashara nusu nusu haijakamilika, pili ukiuliza kitu njoo (pm) huko pm watu washatapeliwa Sana na ushaidi upo humu.
 
kuwa muwazi, weka bei ya kitu kimoja moja hapo:
*kinu cha kusaga bei gani
*kinu cha kukoboa bei
*kinu cha kukamua alizeth bei gani.
pm hapana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom