Napenda kuchukua bafasi hii kutangaza huduma tunazozitoa kwenye kampuni zetu za MGE na KGE.
Sisi ni mafundi tuliobobea kwenye ufundi ktk fani mbalimbali.Tunajiamini kwa kuwa tuna vipaji bora vya ufundi licha ya kusomea ufundi mbalimbali.
Kazi zetu ni safi,hatupendezwi na kazi chafu zisizo na viwango,wakati wote tunajali ubora wa kazi na sio kuweka fedha mbele.
Tunawaasa mafundi wengine kuzipenda kazi zao na kufanya kazi kwq umakini ili kusudi waweze kujipatia wateja wengi zaidi na kuboresha vipato vyao.
Kwa mtu yeyote anaehitaji huduma zifuatazoanakaribishwa sana:
1.Egg Incubator,mashine za kutotoleshea mayai za umeme automatic na za mafuta ya taa manual.
2.Anayehitaji mashine hizo za kutotoleshea mayai za kutoka nje ya nchi,kama china,uk,usa,sa,nk.
3.Mwenye mashine iliyoharibika au inayosumbua ya kutotoleshea mayai.
4.Ushauri,mafunzo juu ya utumiaji wq incubator,uleaji wq vifaranga,chanjo zake nk.
5.Installation za umeme mahali.popote,ufungaji wa solar,nk.
6.Uundaji wa inverter,powerbackup,energy servers,nk.
8.Mahitaji ya mayai,kuku,kwale,kanga,bata,nk.
Na huduma zingine nyingi.
Tunapatikana Dar es salaam,mburahati au tabata posta,dsm.
Kwa mawasiliano piga simu,
0784413039.
Usihangaike,tupo kukushauri,achana na njaa,watakuibia pesa zako kwa bidhaa au kazi mbaya,harafu watapotea na kukuachia hasara tupu.
Epukeni sana mafundi wqnaojitangaza kwa vivutio vya bei rahisi,pata muda tuombe ushauri kwetu masaa 24.
TEMBELEA:FACEBOOK,AU TAFUTA MWAKALINGA GENERAL ENTERPRISES.
inatotorsha mayai kulingana na aina ya mayai uliyoweka ni ya ndege gani. kama kuku ni siku 21, bata 28 kanga 30 kware 21
vifanga vitaishi kulingana na ww utakavyo vitunza ata kama ukiwa msimu wa joto usipo vihendo lazima vife
controller cjui kutengeneza bali nanunua. mashine kama usipo ipangilia au kuyajali mayai ktk usaf na muda tangu utagwa,ama kuyashikia mafuta ata uwe na mashine ya aina gani ufanis unakua mdogo?
wengi humu naona wanauliza mala aoutmatic wakijua kua unaweka mayai tu na kuiacha mpaka vifaranga vinatoka, ila wanakosea, ukiwa na mashine yoyote inahitaji uangalizi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.