Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,875
- 2,201
- Thread starter
- #41
Machine za kusaga
Mkuu hivi Unapoingiza umeme ndani kwako Tanesco wanakuhitaji nini?
Kama utalijibu hilo swali sisi tupo upande Wa kuitengeneza mashine umeme ni upande mwingine
Mkuu ni kweli usemacho kwa mawazo yako lakini si kila kitu kitawekwa wazi hapa ndio maana tunashauri mteja afike ofisini hapa ni maelezo ya awali karibu kwa mashine lolote 0762612213
Inakubidi uje ofisini mkuu njoo tuulize maswali yako yote ujibiwe kwa uhuruWewe huna uwezo wa marketing nilishawishika ila unavyojibu humu hovyo sana
Zipo bado boss tupo tabata kisukulu mashine ya kusaga 2.7m na kukoboa 2.6m jumla zote mbili million tano na laki tatu bossMashine bado zipo? Bei elekezi ikoje?