Wewe unatakaje kujuandikisha wakati sio mtanganyika?
Kwani zinatumia anti-virus gani?Katika kituo cha Sombetini machine za kuandikisha Wapiga kura zimeharibika Masaa manne sasa watu wamesimama na wamechoka
Sasa si uilize huko uliko?Naona hujielewi wewe...