Mashine za BVR wanatumia program gani kuingiza data

Mashine za BVR wanatumia program gani kuingiza data

Ukipewa kazi ya bvr wewe utakuwa data entry tu wanakufundisha ku login na kaingiza data za mtu yule unayemsajili adi ku print kitambulisho tu ila inatumia database na ipo kwenye windows 7 but iki boot ina loading program maalumu ya ku check device kama zimekuwa attached na kama zinafanya kazi vizuri
 
Hizi mashine ukielekezwa tu basi unaweza kufanya hiyo kazi sababu zenyewe zinaku comand kufanya kitu hatua kwa hatua.
Changamoto ni wengi wasio na uzoefu huwa wapo slow japo wanajua nini wanafanya.
 
OK, bro inamaana hata uwe ujapitia ms access walla ms excel ukielekezwa tu unauwezo wakufanya nayo kazi
 
OK, bro inamaana hata uwe ujapitia ms access walla ms excel ukielekezwa tu unauwezo wakufanya nayo kazi
  • Ndio unauwezo wa kufanya kazi
    Kikubwa ni wepesi wa vidole kuingiza taarifa zilizo kwenye form No.1
 
Wanalipwa sh ngapi? Au ni kama wale wa sensa tu?


Alafu videmu ambavyo viko kama BVR operators wanajiskia sana. Yaani wanajiona 'IT Professionals' kumbe kazi yenyewe mama yangu pia anaweza kufanya.

SMH.
 
Mkuu almost ni elimu ndogo tu hata yakijinga.

Mi nilijaribu kuongea na wale jamaa kuhusu ufanyaji kazi wa zile mashine ukoje wakanielezea kijinga jinga tu, nikawauliza nyie mmesomea ?
Wakajibu hapana ili tulikuwa kwenye semina elekezi sijui wapi.

Nilipata wasi wasi sana mana jamaa uzoefu na mashine hawana kabisa wako slow mpaka kelo.

Nilitamani sana kujua kama kuna uwezekano wa mtu kupata ID mbili, nikagundua kwamba almost ni POSSIBLE kwa wazee hasa hasa.
Mana niliona wazee wasiojua kuandika wanawachukulia kama ni disable people kwahiyo hawaweki fingerprint, kwahiyo mzee ana uwezo wakwenda sehemu nyingine kujisajili tena nakutia sahihi kabsa kama kule alisema hawezi.

Nchi za wenzetu huwa wanaita hackers kufanya penetration ya connection chanel ya zile mashine kwa dau flani.
kama walivyofanya nadhani wenzetu Kenya kwenye Machine zao.

Wakati unawauliza hawajakuletea dharau? Manake wa huku kwetu . duh ni noma.......
 
Wakati unawauliza hawajakuletea dharau? Manake wa huku kwetu . duh ni noma.......

Hahahaa wasingeweza mkuu,
nilikua na jamaa tulikuwa tunapita tu mana haturuhusiwi kujiandikisha.
 
Sasa kama kazi simple kwanini wanataka watu professional wakati mtu mwenye cheti cha ms word anaweza Fanya, ivi wanalipwa shingapi, wanalipwa per day au mpaka wamalize kazi
 
Kwa aliyewahi kufanyiwa interview ili ashughulikie bvr operator, anaweza kunisaidia maujanja ya humo ndani ili nikifika nichane mkeka

Najiandaa kwenda kweny interview ya bvr operator,
Ila najitambua computer vizuur tuh, mc word excel kwa mbaaaaaali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu almost ni elimu ndogo tu hata yakijinga.

Mi nilijaribu kuongea na wale jamaa kuhusu ufanyaji kazi wa zile mashine ukoje wakanielezea kijinga jinga tu, nikawauliza nyie mmesomea ?
Wakajibu hapana ili tulikuwa kwenye semina elekezi sijui wapi.

Nilipata wasi wasi sana mana jamaa uzoefu na mashine hawana kabisa wako slow mpaka kelo.

Nilitamani sana kujua kama kuna uwezekano wa mtu kupata ID mbili, nikagundua kwamba almost ni POSSIBLE kwa wazee hasa hasa.
Mana niliona wazee wasiojua kuandika wanawachukulia kama ni disable people kwahiyo hawaweki fingerprint, kwahiyo mzee ana uwezo wakwenda sehemu nyingine kujisajili tena nakutia sahihi kabsa kama kule alisema hawezi.

Nchi za wenzetu huwa wanaita hackers kufanya penetration ya connection chanel ya zile mashine kwa dau flani.
kama walivyofanya nadhani wenzetu Kenya kwenye Machine zao.
Asante sana mkuu, taarifa km hizi n Muhimu vijana tuzijue

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom