Mambo vipi wadau nilitaka kujua ni program gani inatumika kuingiza data kwenye mashine za bvr je ni MS ACCESS au MS EXCELL ,
Mambo vipi wadau nilitaka kujua ni program gani inatumika kuingiza data kwenye mashine za bvr je ni MS ACCESS au MS EXCELL ,
OK, mtu aliesomea advance ms applications kama ms word,ms access ataweza kuiendesha hii mashine au inaitaji elimu kubwa
Inaitwa BIDVOTE ni too complicated Haina back ukivurunda tu unairestart.
Kwamaana hiyo unaweza kulogin kama admin au operator , na tofauti ya operator na admin itakua ipi hapo.
OK, umesomeka mkuu kumbe operator akiwasha pc tu anakutana na option za kujaza taarifa na si aanze kutengeneza fomu ili ajaze taarifa tena kama ufanyavyo kwenye ms access and ms excel,
OK, mtu aliesomea advance ms applications kama ms word,ms access ataweza kuiendesha hii mashine au inaitaji elimu kubwa
OK, maana Nina Ndugu yangu kapata zali kufanyia kwenye kitengo cha bvr ilihali kwenye ms access na ms excel hayuko fiti, swali je ataweza kuioperate kweli ila anaju kompyuta vizuri tuu