Mashine ya kukamulia Juice ya Miwa

Hehe nilifikiri peke yangu.

Ngoja jamaa zetu wa SIDO na Veta waje watujuze...
 
Zinaanzia Sh350,000 inategemea na ukubwa zinapatikana Mwembechai au Mbagala kituo pale kuna wapemba wengi wanauza juice za miwa na hizo machine wanauza

Ritz,

Mwembe chai kwa sehemu gani chief niende fasta hata leo.
 
mimi nnayo, nili ininununa tanga kwa rafiki yangu. ila ipo home. wadogo zangu wamenibetray. moja manual na ya mortar( umeme)
 
mimi nnayo, nili ininununa tanga kwa rafiki yangu. ila ipo home. wadogo zangu wamenibetray. moja manual na ya mortar( umeme)

Kaka hiyo manual si ina kazi sana?

Ilikuwaje ukanunua Tanga? huko kuna utaalam zaidi?

Waliku betray? ukimaanisha?
 
1. manual kwa kuanzia/ small scale inafaa - biashara ikipanuka unaweka ya mortar.
2. Nili ihitaji na nikaipata huko kwa mtu nnaye mfahamu - Tanga
3. niliwaacha waniangalizie biashara, hatimaye wakanifanya mjinga. mua unakwisha- hela hamna
 
acheni kuhangaika...endeleeni kutumwa na wahindi/makaburu/CCM waliowaajiri.....mi niko na makaburu.

hivyo vitu vinahitaji muda nanyi muda wenu unaishia kwenye desk top ofisini na lap top/DSTV home, hamtoweza unless muamue kushika moja.

naongea kwa uzoefu tu...siwakatishi tamaa, ni wazo zuri lakini practicalities zake ni shida tupu hasa kwenye kupata hardworking and trustworth staff wa kufanya hizo kazi wakati mwenyewe umepinda mgongo kwenye desktop/lap top ofisini.

mi nna ndoto kama hizo but nadhani i need to change the job as well...hii 2am-5pm schedule ya monday to friday na extra hours kwenye month ends..hainilipi.

ukiwa na kazi ambayo kuna kale ka-utamaduni ka-kutegea kazi ka ametoka kidogo then utaweza, otherwise ni ndoto.
 
1. manual kwa kuanzia/ small scale inafaa - biashara ikipanuka unaweka ya mortar.
2. Nili ihitaji na nikaipata huko kwa mtu nnaye mfahamu - Tanga
3. niliwaacha waniangalizie biashara, hatimaye wakanifanya mjinga. mua unakwisha- hela hamna

mua umekwisha - hela hamna .... nimeipenda hii .... hakika wamekufungua macho

Mkuu ... Nadhani wao ndiyo wajinga

Pole sana
 
Wandugu,

Napenda kufahamu hizi mashine za kukamua juice ya miwa zinapatikana wapi na bei zake zina range kwenye kiasi gani.
sugarcane_juicing_can_crushing_machine_0086_13937128914.summ.jpg
USD 1300
NAKULETEA,​
 
sugarcane_juicing_can_crushing_machine_0086_13937128914.summ.jpg
USD 1300
NAKULETEA,​

sawa, lakini umeweka bei no specifications zozote au details. capacity yake vipi? inatumia umeme au nini? may be solar?manake wewe mtu wa solar co? Funguka zaidi.nafikiri hcho ndio wadau wanataka kujua atiiii!
 
sawa, lakini umeweka bei no specifications zozote au details. capacity yake vipi? inatumia umeme au nini? may be solar?manake wewe mtu wa solar co? Funguka zaidi.nafikiri hcho ndio wadau wanataka kujua atiiii!

Quick Details
Brand Name: AMS Model Number: FM-0101
Type: juicing
capacity: 1000 kg
fuction: juicing
energy: electric or diesel
voltage: 380V diesel: 12 hp


Specifications

1. suger cane juicing
2. high quantity
3. easy to operate

sugarcane juicing machine:

1. suger cane juicing
2. high quantity
3. easy to operate

If you want to know more information, pls contact me.
 
acheni kuhangaika...endeleeni kutumwa na wahindi/makaburu/CCM waliowaajiri.....mi niko na makaburu.

hivyo vitu vinahitaji muda nanyi muda wenu unaishia kwenye desk top ofisini na lap top/DSTV home, hamtoweza unless muamue kushika moja.

naongea kwa uzoefu tu...siwakatishi tamaa, ni wazo zuri lakini practicalities zake ni shida tupu hasa kwenye kupata hardworking and trustworth staff wa kufanya hizo kazi wakati mwenyewe umepinda mgongo kwenye desktop/lap top ofisini.

mi nna ndoto kama hizo but nadhani i need to change the job as well...hii 2am-5pm schedule ya monday to friday na extra hours kwenye month ends..hainilipi.

ukiwa na kazi ambayo kuna kale ka-utamaduni ka-kutegea kazi ka ametoka kidogo then utaweza, otherwise ni ndoto.

Mkuu umemwaga pointi tupu. Nilijaribu hii kitu mara baada ya kununua mashine Zenji,lakini niliamua kuiuza kwa hasara.Kimehasabu pesa ipo ila shida ni hao waendeshaji. Bila usimamizi wa karibu, ni maluweluwe tu.Niliipeleka kwanza Mwanza kwetu nikijua ni sehemu yenye miwa mingi,lakini wapi.Baadae ikatia timu Dar nako wapi.
 
Mkuu umemwaga pointi tupu. Nilijaribu hii kitu mara baada ya kununua mashine Zenji,lakini niliamua kuiuza kwa hasara.Kimehasabu pesa ipo ila shida ni hao waendeshaji. Bila usimamizi wa karibu, ni maluweluwe tu.Niliipeleka kwanza Mwanza kwetu nikijua ni sehemu yenye miwa mingi,lakini wapi.Baadae ikatia timu Dar nako wapi.

Umeona eehhh!!!

Huo ugumu ndiyo umesababisha wenzetu wazungu watengeneze mifumo mizuri ya ajira, mishahara na malipo ya uzeeni. b'se wakati ukiwa na ajira, huna muda wa kufanya lolote nje ya ajira la kukuingizia kipato kwa mafanikio...utaishia kulizwa na kuibiwa.

Wao wameona ni bora ufanye kazi kwa bidii...umalize umri wako wa ajira ukiwa na mshahara mzuri na hatimaye mafao bora ya uzeeni.

Wazo la kuwa na hako ka-mradi ni super lakini utekelezaji ni mashaka matupu.
 
Maundumula kumbe we wataka kufanyiwa kazi bila usimamiz?if yes,usiingie kbs ktk biashara,bt kama ni msimamizi mzuri hakuna biashara inayolipa kama ya vyakula+vinywaji!
 
Mashine mpya ya juice ya miwa inauzwa, Ex China.
Imetengenezwa na Stainless steel (Food safe metal), ina uwezo wa kukamua kilo 300 za miwa kwa saa, haina vibrations sana.
Bei ni Tshs 1.8m
Kwa anayehitaji ani-pm..
 

Attachments

  • sugarcane juicer machine.jpg
    sugarcane juicer machine.jpg
    17.9 KB · Views: 748
Napenda kufahamu bei za mashine ya kukamua juice ya miwa inayotumia motor inayoendeshwa na Diesel engine.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom