Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Mkuu tulishajali hii swala cheki post za zamani
ahsante mdau......kumbe umaskini bado utaendelea kuniandama aiseeeee......anyway ngoja nipambane tu
mil 1.5 mpya
wadau wajasirilia mali,,natafuta machine ya kukamua miwa na kutengeneza juicy..mpya ya kisasa yenye kutumia umeme...mwenye nayo au anayejua bei zake na mahali zinapouzwa naomba MSAAADA jaman....0718247575 for contacts.........
Ninayo used "kidogo" laki 9 bila kupungua hata chembe 0714620265wadau wajasirilia mali,,natafuta machine ya kukamua miwa na kutengeneza juicy..mpya ya kisasa yenye kutumia umeme...mwenye nayo au anayejua bei zake na mahali zinapouzwa naomba MSAAADA jaman....0718247575 for contacts.........
Hii number ya kwa ubama au?hapa Dar zipo wapi hili ndio swali la msingi.Zinapatikana kubwa, Medium na Ndogo kwa ajili ya matumizi ya nyumbani Mkuu. Tuwasiliane + 862066688888 au PM
Hii number ya kwa ubama au?hapa Dar zipo wapi hili ndio swali la msingi.
Aisee,hembu tupe bei sasa ya kubwa na ndogo,tupia picha zake zote hapa
kariakoo,kituo cha bakhresa kuna sehemu wanakamua juice za miwa na contact za hawa jamaa wanaotengeneza machine za juice ya miwa.hii number ya kwa ubama au?hapa dar zipo wapi hili ndio swali la msingi.
kiongozi hiyo 1.5 ni kila pamoja na nauli ya kutoka huko china au ? du bado kodi kiongozi , mmmh hebu tuambie gharama za kuipata hapa dar itakuwa kiasi ganiZinapatikana kubwa, Medium na Ndogo kwa ajili ya matumizi ya nyumbani Mkuu. Tuwasiliane + 862066688888 au PM
kiongozi hiyo 1.5 ni kila pamoja na nauli ya kutoka huko china au ? du bado kodi kiongozi , mmmh hebu tuambie gharama za kuipata hapa dar itakuwa kiasi gani
Bei nilizoweka ni bei za kununua hapa China. Gharama za kusafirisha ni kati ya 150USD hadi 200USD kulingana na uzito wa machine kwa sababu huwa natumia usafiri wa Ndege ya mizigo.