Brand New Ice Cream Machine inauzwa, capacity yake ni 22ltrs, ya kuweza kuweka flavor tatu tofauti (midomo mitatu), pamoja na mashine ya kutengenezea cone zake, capacity yake ni 50-60 pcs kwa saa. Serious buyers only...!
Brand New Ice Cream Machine inauzwa, capacity yake ni 22ltrs, ya kuweza kuweka flavor tatu tofauti (midomo mitatu), pamoja na mashine ya kutengenezea cone zake, capacity yake ni 50-60 pcs kwa saa. Serious buyers only...!
Mzigo upo Dar, both goes for Tshs 5.2M[/QUOh
hiyo machine kama bado ipo naomba jibu nahitaji machine ya icecream tu na itakuwa bei gani
Hiyo mashine ipo ipo'Brand New' mkuu, mpya! Kerry..