Mashindano ya Division ZERO 2023

Ndio maana ule uamuzi wa kuzuia kutangaza ma TO nimeupenda sana, haileti mantiki kushindanisha shule na wanafunzi kwa mazingira haya, kwa scenario hii umeandika hapa automatically shule kama hii lazima ishike tu mkia au nafasi za chinj sana miaka yote au kutokuja kutoa TO milele na milele.

Sasa madogo hao 400+ wanaingia mtaani, waanze kujitafuta na hii life ya kibongo, kazi ipo si mchezo
 
Aisee ni changamoto life lenyewe gumu.
 
Laiti wangetoa matokeo na majina tungeduwaa Kwa hujuma ambazo watoto wetu wanafanyiwa
 
Iundwe tume wajumbe 250 (125 bara, 125 visiwani) ichunguze hizi hujuma

Mimi niwepo kwenye hiyo tume. mchango wangu ni kwamba Zanziberi iwe na Ilmu ya deen au ilmu akhera na ilmu dunia

mambo yasiwe mengi wapemba vichwa ni vidogo weye wamjazia masomo 10 yakazi ganiiii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…