Mashekhe wachomana visu leo huko kyela

Mashekhe wachomana visu leo huko kyela

Status
Not open for further replies.
Pia anatuhumiwa kwa ushirikina, kutokuwa na elimu, kuishi kwa bi mdogo, na ni mwanachama wa scout, wiki iliyopita walimwonya kutovaa mavazi ya scout kwani nembo yakehaiendani na dini ya kiislam alikaidi wakataka kumpiga akakimbilia kwa mkuu wa wilaya, hivyo wakamzuia asije msikitini leo akaja ndipo mapambano yalipotokea kati ya pande mbili wanaopingana na wanaotaka shehe abaki, mapanga, nondo, visu vimetumika. Shehe kajeruhiwa na waumini kadhaa wapo selo.

Source. Nipo kyela
 
Mlioko Kyela tafadhali mje na ufafanuzi.
 
hawa jamaa zetu bana akhaa! sasa mapanga na visu na msikitini inakaaje hapo? ndo yale mkisemwa mnaanza kubisha ila haya mambo ndo yanayowachafua sana.
Tena inatakiwa wachukuliwe hatua kali sana wehu wakubwa.
 
heh watu wanafungulia na kuchOmana visu, kwenye din si kuna kusameaheana na kutubu, je kama alishatubu na Mungu wake.
 
Hapo ni wenyewe kwa mwenyewe je kwa mti mkavu si wanarusha mabomu kabisa hafu hawa jamaa wabishi kama wawekunywa maji ya ----- itakuwa walikuwa wanabishana mwenzi wa ramadhan kwamba yesu mwana wa mungu au la
 
kumbe hadi visu vinaruhusiwa Msikitini?
Balaa kweli..sasa Ponda anapokataa ulinzi Misikitini si watamalizana asee?

hawa jamaa misikiti hawaitumii kwa ajili ya swala tuu,pia huwa wanaitumia kama makambi ya kujifunzia judo na karate na ndio maana wanaingia na silaha,tena hata bunduki huwa wanazificha kwenye yale makanzu yao na wanatembea nazo na kuingia nazo misikitini.Muwe nao makini sana hawa jamaa zetu.
Kwani ni nani anayeweza kutofautisha hili kundi na ugaidi?
 
Uislamu unaeleza vizuri saana ,jinsi ya kuwasikiliza na kuwaheshimu viongozi. ndo maana inasema katika kila wawili mmoja ni kiongozi.hamuwezi wote mkawa viongozi kisha mkaongozana mtagombana na kuzozana tu.Jana nilikaribishwa chai asubuhi na mmoja wa waislamu, tukiwa tunapata hiyo riziki mmoja wa waalikwa alieleza mambo mengi niliyoyasikiliza na kuyapenda likiwemo hili yakwamba hapo zamani BANIANI akijua wewe ni PAGAN unatafuta dini ya kuingia anakushauri uingie UISLAM, anakwambia ni watu waungwana. lkn sasa hawasemi hivyo tena na wakimuona mtu ana MIDEVU hata akienda chooni kila mtu anakaa kwa tahadhali. hakuishia hapo alidiriki kueleza kuwa hata matukio haya yaliyotokea dhidi ya WAKRISTO, ya kuuawa padre na bomu kule Arusha kama yangekuwa yametokea upande wa WAISLAM basi pasingekalika lkn wanasema WAKRISTO wamekuwa watulivu kwa kuwa wanawasikiliza VIONGOZI wao. wito kwenu WAISLAM KORAN haijaacha kitu ifuateni kwa hekima.
 
Uislamu unaeleza vizuri saana ,jinsi ya kuwasikiliza na kuwaheshimu viongozi. ndo maana inasema katika kila wawili mmoja ni kiongozi.hamuwezi wote mkawa viongozi kisha mkaongozana mtagombana na kuzozana tu.Jana nilikaribishwa chai asubuhi na mmoja wa waislamu, tukiwa tunapata hiyo riziki mmoja wa waalikwa alieleza mambo mengi niliyoyasikiliza na kuyapenda likiwemo hili yakwamba hapo zamani BANIANI akijua wewe ni PAGAN unatafuta dini ya kuingia anakushauri uingie UISLAM, anakwambia ni watu waungwana. lkn sasa hawasemi hivyo tena na wakimuona mtu ana MIDEVU hata akienda chooni kila mtu anakaa kwa tahadhali. hakuishia hapo alidiriki kueleza kuwa hata matukio haya yaliyotokea dhidi ya WAKRISTO, ya kuuawa padre na bomu kule Arusha kama yangekuwa yametokea upande wa WAISLAM basi pasingekalika lkn wanasema WAKRISTO wamekuwa watulivu kwa kuwa wanawasikiliza VIONGOZI wao. wito kwenu WAISLAM KORAN haijaacha kitu ifuateni kwa hekima.

Kwa hiyo Tukio la kuzikwa Katekista akiwa hai kule Mbeya kwa tuhuma za uchawi mwanzon mwa mwaka huu ni maagizo ya Viongoz wao?, Mbeya ndio eneo lenye makanisa na wachungaji wengi zaid lakini ndio wanaongoza kwa Unyama dhidi ya binadam, Unakumbuka Askof Malasusa alivookolewa na vyombo vya Dola asichapike kutoka kwa wenye hasira kule Sumbawanga alipoenda kulazimisha kusimika kiongoz asietakiwa halaf unatudanganya eti huwa mnasikiliza viongoz wenu ukikaribishwa kwenye chai ya Pasaka jadili na hili,
 
Dhambi ya ubaguzi ndo inayowatafuna, waacheni wafu wazike wafu wao, kumbe hata baina yao kuna ambao sio bora!!
 
Kwa hiyo Tukio la kuzikwa Katekista akiwa hai kule Mbeya kwa tuhuma za uchawi mwanzon mwa mwaka huu ni maagizo ya Viongoz wao?, Mbeya ndio eneo lenye makanisa na wachungaji wengi zaid lakini ndio wanaongoza kwa Unyama dhidi ya binadam, Unakumbuka Askof Malasusa alivookolewa na vyombo vya Dola asichapike kutoka kwa wenye hasira kule Sumbawanga alipoenda kulazimisha kusimika kiongoz asietakiwa halaf unatudanganya eti huwa mnasikiliza viongoz wenu ukikaribishwa kwenye chai ya Pasaka jadili na hili,
pole saana ndugu yangu kama nimekukwaza kwa haya niliyoandika, chini ya dhamiri ya moyo wangu sina maana ya kuonyesha dini gani? NI bora kulinganisha na nyingine wala sina maana ya kudharau dini ya wengine maana yangu ni kuondoa UOVU ndani ya jamii zetu.nimeeleza mengi lkn yale ya hovyo naona wewe ndo unajitahidi kuyachukua nakushauri chukua hili KORANI HAIJAACHA KITU IFUATENI KWA HEKIMA.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom