bysange
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 4,456
- 1,565
- Thread starter
- #41
Kweli mkuu maana siku hizi watu tunapandikizwa taaluma ambazo huenda Quran haijaeleza.pole saana ndugu yangu kama nimekukwaza kwa haya niliyoandika, chini ya dhamiri ya moyo wangu sina maana ya kuonyesha dini gani? NI bora kulinganisha na nyingine wala sina maana ya kudharau dini ya wengine maana yangu ni kuondoa UOVU ndani ya jamii zetu.nimeeleza mengi lkn yale ya hovyo naona wewe ndo unajitahidi kuyachukua nakushauri chukua hili KORANI HAIJAACHA KITU IFUATENI KWA HEKIMA.