Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Jee wale waliokuwa wanaenda kugongewa usiku usiku na kukamatwa kisha kupandishwa ndege na kupelekwa magereza ya bara hadi Leo nao pia muamsho!?
Kuna mengi yamejificha. Mungu ndie Ajuae.
Maana kama wana hatia kesi zao zingesikilizwa na hukumu kutolewa why all these years bila kesi kusikilizwa wala updates zozote kutolewa hadharani!!?
Inafikirisha.
Salmin aliwaweka ndani wapinzani kwa visingizio vya ugaidi miaka zaidi ya mitatu alipoingia Shein tu madarakani aliwachia huru. Why not hawa masheikh? Viongozi na watawala wanapishana kwa nini hawaachiwi huru au hata kesi zao kusikilizwa!!???
Kama wamejitia najisi wataponaje? Kama wanawasiliana na kusaidiwa na watu ambao Dunia nawaonea hatari utawasaidiaje?