RUV ACTVIST.
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 472
- 110
Moderator please usiindoe hii, Tunawaomba viongozi wetu wa dini watuongoze kwenye maandamano katika hili la mgomo wa madaktari , tunakwisha. serikali ipo kimya mno katiak kuchugulikia swala hili au inaenda polepole sana.Tutakwisha waumini wenu na hiyo serikali itabaki na nini? tegemeo yetu ni nyinyi kwa sasa.