Hiyo ni colonial legacy na ipo kwenye dini zote
1.Muislamu hupenda kumuiga muarabu aliyemletea dini kuanzia mavazi, chakula tabia hata matamshi ambayo mara kwa mara wanashindwa kutamka vyema lahaja za kiswahililakini mbongo anaanza kumuiga tena huyo anayekosea ili afanane naye
2.Mkristo naye hupenda kumuiga mzungu aliyemletea dini kuanzia mavazi, tabia, lugha na matamshi. Sana sana walokole ndio wamekubuhu kwenye hili, unakuta mzungu anashindwa kutamka lahaja za kiswahili kama jioni yeye ataita CHIONI sasa unakuta mbongo nabii wa magumashi naye anaiga vile vile makosa ya mzungu.......CHIONI YA LEO BWAANA ATAKUCHA KUONGEA MAHALI HAPA""