Ni Jiji linalokuwa kwa kasi unaoambatana na ongezeko kubwa la watu na makazi. Eneo linalomilikiwa na Taasisi ya Kilimo Uyole lenye ukubwa wa hekta takriban Elfu moja nalo linapatikana ndani ya makazi ya watu Kati ya eneo la Uyole na kwa mama John.
Ni wakati muafaka Sasa ikaonwa nanna nyingine ya kuhamisha shughuli za kilimo katika Taasisi hii na kuzipeleka nje kabisa ya mji eneo huru ili kuruhusu kumfanya mpango mji wa makazi Bora na ya kisasa. Najua wengi wangeunga mkono suala Hilo na kulifanya Jiji kuwa zuri kuliko ilivyo sasa!!
Ni wakati muafaka Sasa ikaonwa nanna nyingine ya kuhamisha shughuli za kilimo katika Taasisi hii na kuzipeleka nje kabisa ya mji eneo huru ili kuruhusu kumfanya mpango mji wa makazi Bora na ya kisasa. Najua wengi wangeunga mkono suala Hilo na kulifanya Jiji kuwa zuri kuliko ilivyo sasa!!