tuwe wakweli
JF-Expert Member
- Feb 15, 2014
- 223
- 59
Ni wilayani kilolo-iringa,kuna mashamba mengi yana miti ya mipaina hasa ya kufuga ya umri mbalimbali bei yake ni poa sana au waweza nunua shamba tupu then upande na baada ya miaka 8 waweza kuivuna kwa faida kubwa.
MWENYE NIA ANI PM ILI TUWASILIANE
MWENYE NIA ANI PM ILI TUWASILIANE