Mashamba ya kulima Ruvu

Mkuu CITY HUNTER hayo mashamba unayozungumzia ni ya nafco/narco au ni ya wanakijiji?

Kwenye swala la mpunga nimeongelea NAFCO. Ila,humu kuna watu wanaojitambua,na hakika wapo wenye kila aina ya uelewa na haya mambo.Kwa nini watu msiongee hata wakipatikana 10 tu,mjenge group,la kilimo,muaminiane,kitawashinda kitu gani?
 

Kuna kipindi nilizungumzia hiyo issue kuhusu kilimo pembezoni mwa mto,hivyo kila mtu aelewe kwamba mwezi wa tatu mafuriko yanaanza,japo wingi wa maji hautabiliki,wakati mwingine hayazuii kilimo kuendelea,na wakati mwingine yakikukumba ujue ndo basi,labda yakitoka mpunga haujaoza,unaweza pata wa kutumia nyumbani
 
Kwenye swala la mpunga nimeongelea NAFCO. Ila,humu kuna watu wanaojitambua,na hakika wapo wenye kila aina ya uelewa na haya mambo.Kwa nini watu msiongee hata wakipatikana 10 tu,mjenge group,la kilimo,muaminiane,kitawashinda kitu gani?
Hilo ndio swala la muhimu sana aisee. Mm niko tayari

......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…