Mashamba ya kukodi na kununua Rufiji

Mashamba ya kukodi na kununua Rufiji

Nianze kwa kuuliza untaka kulima zao lipi haswa... Mm nipo maeneo ya Shinyanga 10 km toka Kibiti town. Jirani yangu anauza heka 8 zilizosafishwa tayari. Curently 2nalima ufuta... Karibu ukiwa interested ntafute kwa 0763328830
Mkuu kama nitahitaji shamba hekari 30 kutoka maeneo hayo ya kibiti kwa ajili ya ufugaji naweza kupata kwa bei gani??

Maana sifa kuu ni upatikanaji wa maji ya kisima cha kuchimba au mto unaotiririka mwaka mzima, na uwepo wa barabara pia.

Naomba unijibu mkuu maana niko serious sana na hii project mkuu
 
mashamba yanapatikana huko mpaka sasa ukwiriri posta ukishuka hapo maeneo ya mbunjo na sehemu zingine mashamba yapo ila kuuziwa na serikali ya kijiji huko bado watu kuamka, ni kweli udongo wa huko ni virgin na una rutuba sana...

Vipi upatikanaji wa maji na barabara???
 
Nimeambiwa kuwa maeneo ya Kibiti (around 130 km from Dar) mashamba yapo yanauzwa Tshs. 60,000 (elfu sitini tu) Kwa ekari moja na yana rutuba sana. Mihogo, mananasi na ufuta vinastawi Kwa sana.

Mkuu naomba contact za huko kibiti
 
Back
Top Bottom