Mashamba makubwa yanauzwa - bagamoyo

Mashamba makubwa yanauzwa - bagamoyo

Huko kuna matapeli balaa ... Migogoro ya ardhi huko ni order of the day! Kuweni makini sana!
 
Tunashukuru kwa angalizo lako MKUU, habari njema ni kuwa mpaka sasa hakuna ambaye ameshatapeliwa shamba huko kupitia thread hii. Na kusema UKWELI kutapeliwa ni jambo unaloLIKUBALI MWENYEWE, ukikaa kitapelitapeli utapeliwa tu.

Huko kuna matapeli balaa ... Migogoro ya ardhi huko ni order of the day! Kuweni makini sana!
 
Karibu sana Mkuu bila shaka utayapenda na kama utayakuta maana watu wengi wanakimbilia pande hizo kila siku. Migogoro ya ardhi ipo nchi nzima mkuu siyo bagamoyo peke yake, fuata sheria na taratibu zilizopo kuepuka usumbufu.


asante tutakuja kuona hayo mashamba ila uko bagamoyo kuna mgogoro wa ardhi sasa itakuwaje bestito?
 
Back
Top Bottom