Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,603
- 29,748
intro
Hivi mama fatu nilivyokuonaa..
sikuamini macho yangu...
ilikuwa kama niko ndotonii
mamaa faatu shoga yangu.... x 2
ama kwelii hujafa hujaumbika
naamini ya walimwenguu
hivi umbo lako lilivyobadilikaa
ni maasikitiko kwanguu
hebuu nielezeee,
umepatwaa masahibu ganii? ... x 2
bridge
ohooo ohoo ukewenzaaa,
ukewenza kweli una mamboooo
ama kweli nimeona vituko,
unitizame nilivyokoonda
sababuu ya ukewenzaa
ukewenza mamaaa......
... bora usikie hivyo hivyo
chorus
Ukewenza kweli hatari we mama
akina baba wanatuletea janga
fahari yao kwetu sisi matatizoo
ooo ooo matatizoo ...... (endelea kuchat ghani zake)...
Mnakumbuka wimbo huu kaimba nani?
Hivi mama fatu nilivyokuonaa..
sikuamini macho yangu...
ilikuwa kama niko ndotonii
mamaa faatu shoga yangu.... x 2
ama kwelii hujafa hujaumbika
naamini ya walimwenguu
hivi umbo lako lilivyobadilikaa
ni maasikitiko kwanguu
hebuu nielezeee,
umepatwaa masahibu ganii? ... x 2
bridge
ohooo ohoo ukewenzaaa,
ukewenza kweli una mamboooo
ama kweli nimeona vituko,
unitizame nilivyokoonda
sababuu ya ukewenzaa
ukewenza mamaaa......
... bora usikie hivyo hivyo
chorus
Ukewenza kweli hatari we mama
akina baba wanatuletea janga
fahari yao kwetu sisi matatizoo
ooo ooo matatizoo ...... (endelea kuchat ghani zake)...
Mnakumbuka wimbo huu kaimba nani?