Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,535
- 8,620
....NIMETOKA kuangalia news nation tv wanasema kuwa kufungwa mashada ni moja ya directive za waziri wa habari..ambaye amepiga marufuku [nafikiri pia amewaomba owners] malumbano kwenye internet..hali imekuwa mbaya watu wanapiga vijembe hadi kwenye SMS na amewaomba watu wa simu za mkononi nao waingilie kati watu wanaoeneza chuki kwa sms...hii yote inatokea baada ya serikali ya kenya kupinga LIVE BROADCAST!!!
Thanks a lot to u Tanzanians in rejoicing on Kenya's supposedly assumed demise.Well it's not over yet.I got nothing to do with Mashada but i believe it will be back.I also believe that Kenya will be back.Don't just assume the Kenyan resilience.In all these troubles,the Kenyan is forging one great nation.Kenya is forever!!!Imara Daima!!Otherwise to the hateful Tanzanians,i got one question....Mtafanya nini???Bure kabisa.
Matatizo,
Poleni Kenya- tunawaombea hali iwe nzuri na amani iwepo! Ila punguza hasira- JF huwa tunajadiliana kwa hoja!
No one is rejoicing- punguza jazba read between lines!
Tunaombea mema kila siku!
Thanks a lot to u Tanzanians in rejoicing on Kenya's supposedly assumed demise.Well it's not over yet.I got nothing to do with Mashada but i believe it will be back.I also believe that Kenya will be back.Don't just assume the Kenyan resilience.In all these troubles,the Kenyan is forging one great nation.Kenya is forever!!!Imara Daima!!Otherwise to the hateful Tanzanians,i got one question....Mtafanya nini???Bure kabisa.
No wonder you are the way you are. It is not in the spirit of Tanzanians to celebrate the suffering of others. It is simply not in us, it is not the way we're made. Pole sana it seems you don't even understand your own history and that of your neighbours. There is nothing that Tanzania can gain from your suffering. The only thing Kenyans have done so far is to demonstrate to the whole world how far Africa has to travel to reach the wold level of civilisation. Yaani nyie mmetuvua nguo sisi sote. Ila mtu kilaza kama wewe sio rahisi kuelewa hili because to you Kikuyu is more important than Africa leave alone Kenya.