Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 8,319
- 16,486
Mpo wapi mbona siwaoni? 🤣🤣Tupo
Kumbu mkizidiwa nyie ndo halali, ila wengine wakizidiwa ni wabovu ee.Nani akimbie,mashabiki wa Simba ni waelewa sana,Simba ni timu bora isipoku imezidiwa kimbinu,kwenye soka kuzidiwa ni kawaida sana tu.
Acha tu bwashee, yaani zile kebehi, majigambo, kutembea kifua mbele na kujiona size yao Barcelona sijuwi kumepotea wapi?!Hii imekaaje mashabiki wa Simba wamezima simu na kutoweka mtandaoni hata kabla ya Mechi kuisha
Kesho tunaamkaje wazee hii gemu tushapigwa 4-0 duh.
Poleni rudini ulingoni tupambane mtujibu nani upololo kati ya Simba na Yanga
Yanga pamoja na ubovu wake asingeweza kufungwa goli zote hizi.
View attachment 1786285View attachment 1786286
Ulipo tupoMpo wapi mbona siwaoni? 🤣🤣
(IN WAZIRI GWAJIMA VOICE) 😀😀
Ukiuelewa mpira hasa wa timu uipendayo hupaswi kusononeka🤣🤣🤣
Umejua kujikaza.
Hivyo unataka kusemaje eti Mtani? 😀😀Ukiuelewa mpira hasa wa timu uipendayo hupaswi kusononeka
Tutaishangaza nchi na dunia weekend hii, ikishindikana wanaovaa jezi kama za Kaizer Chiefs wajiandae kisaikolojia July 03Hivyo unataka kusemaje eti Mtani? 😀😀
Pacha Idd ilikuwa njema kwa kusindikizwa na 4G ya Simba..Hivyo unataka kusemaje eti Mtani?