Mashabiki wa Simba watoweka mtandaoni

Tupo tu.
Lawama kwanza zimuendee kocha kwa kupanga kikosi kibovu. Hakujuwa mahitaji ya mchezo na maumbile ya wachezaji wa Kaizer Chiefs.
Mechi hii haikumstahili Mkude na badala yake angecheza Nyoni au Muzamiru. Lengo lingekuwa ni kuzuia sana na mashambulizi machache ya kushtukiza. Katikati palikufa kabisa na wala hakufanya mabadiliko.
Kumkosa Morrison limekuwa ni pigo kubwa kwani hii ndio ilikuwa mechi yake kwani angejaribu kuifungua defense ya Kaizer.
Udhaifu wa mabeki simba kwenye mipira ya juu ulijidhihirika wazi kabisa na ma-forward kutokurudi kukaba.
Manula ajifunze ku-intercept cross na sio kusubiri tu mpira upigwe kichwa ndio aokoe.
Na haya madiliko ya ma- stiker wawili kwa mpigo mimi sijawahi kuyaona faida yake na mara nyingi yanadhoofisha timu tu. Striker anaweza kuwa mchezaji mwenye umbile lolote ilimradi tu awe tactical and clinical. Baada ya kumtoa Bwalya angempanga Ndemla ili aje ajaribu ma-shoot ya mbali. Na sijui ni kwa nini hajawahi kumpanga Ndemla hata mara moja.
Simba wajaribu kumpata Dube kwa bei yoyote na ndiye anayefaa kuwa striker wa Simba. Hawa wengine kusema ukweli ni miyayusho tu.
Simba waliwachukulia poa Kaizer na matokeo yake yamekuwa ni huzuni kubwa kwa mashabiki wa Simba laukama watani wamefurahia. Nao pia ubingwa ndio imetoka hiyo, wasubiri tu mbeleko. Hasira zetu tutazimalizia kwao.
Hii Simba ni overrated, timu nzima ili paralyse. Defense hakuna kitu, tena refa angekuwa mkali kuna penalties mbili kazifumbia macho, kiungo kilijifia kabisa, washambuliaji wamekosa mbinu kabisa za kupasua ule ukuta. Kaizer waliwaacha Simba wacheze mpira wa kishamba wa pasi nyingi zisizokuwa na athari, wao pasi tatu tayari wako golini. Mpira ni akili ndio lakini fitness na maumbile ya wachezaji wa Kaizer yamewapa Simba shida pia. Mipira ya juu wako njema kabisa, Mikson ile jezi akiichomoa anakuwa kama kavaa gauni, kwa kimo hicho utarajie anaweza kushinda mipira ya juu?? Yule chizi wa Ghana angekuwepo, pengine mngeweza pata hata la kufutia machozi.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
😁😁😁
View attachment 1786626
65m.jpg
 
Wewe unajifanya kujua kumshinda hata kocha hivyo Simba wamtimue Gomez wakuajiri wewe.

Unapaswa kuelewa kwamba mpira wa Tanzania ni mdogo sana kwa ule wa SA na hata ligi yao huwezi kulinganisha na hii ya kwetu.

Simba kipigo ni halali yao kwani naona wanacheza kwa kukariri zaidi kuliko kimbinu.

Simba are now faced with an uphill task of beating Kaizer Chiefs by five clear goals while ensuring that the South Africans never score the precious away goal, a near impossible task indeed.
 

Simba SC preparations for the Kaizer Chiefs clash was derailed by Young Africans Sports club




Source : diski lounge
 
15 May 2021

Kaizer Chiefs Head Coach Gavin Hunt very happy after beating Tanzania giants Simba FC 4-0


Source : Front Runn
 
Back
Top Bottom