Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,728
- 225,378
Dah,,!'hatari sana,nafsi inauma ila ndo tutafanyaje na hawa washenzi Kaizer wanakatisha ndoto za Simba timu yangu bora Africa.Inasemekana goli la simba lilikua kubwa, baadhi ya viongozi wamewasilisha malalamiko CAF juu ya hujuma hiyo iliyopangwa kwa makusudi kabisa kuididimiza club maarufu africa na duniani kwa ujumla.
Sisi kama wadau wa soka tumesikitishwa sana, tunaomba wataalam wa vipimo kutoka University of dar es saalam waende mara moja kuasidia uchunguzi.
Wameingia rasmi mitaa ya 4gDah Simbaaa poleni ila mmeiaibisha nchi goli 4 kwa nunge
Alafu timu ikizoea matokeo ikianza kupoteza huwa inapoteza mechi mfululizo mpaka za ligi,naomba hii isitokee kwa Simba Sports Club timu yangu.
Ukifungwa lazima uwe mpore.Safi sana mkuu, ila leo mmekua wapole hadi raha
afadhali tupumue,wana kelele sana
Duh hivi mnatolewa mkuu? Jamani kwani si kuna marudiano Mtarudisha kipigo? Aah japo siwapendi Simba ila nilikua nawaombea mtuwakilishe vyemaUkifungwa lazima uwe mpore.
Unadhani tutaongea nini wakati tunaona dalili za wazi kabisa za kutolewa
Kitu 4G network safii 😀
Msijali kwa Mkapa Paka atakuwepo Wala hamtapotea, mtampa 5GAlafu timu ikizoea matokeo ikianza kupoteza huwa inapoteza mechi mfululizo mpaka za ligi,naomba hii isitokee kwa Simba Sports Club timu yangu.