technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Hii imekaaje mashabiki wa Simba wamezima simu na kutoweka mtandaoni hata kabla ya Mechi kuisha
Kesho tunaamkaje wazee hii gemu tushapigwa 4-0 duh.
Poleni rudini ulingoni tupambane mtujibu nani upololo kati ya Simba na Yanga
Yanga pamoja na ubovu wake asingeweza kufungwa goli zote hizi.
View attachment 1786285View attachment 1786286
Kesho tunaamkaje wazee hii gemu tushapigwa 4-0 duh.
Poleni rudini ulingoni tupambane mtujibu nani upololo kati ya Simba na Yanga
Yanga pamoja na ubovu wake asingeweza kufungwa goli zote hizi.
View attachment 1786285View attachment 1786286