Mashabiki wa Simba wakapimwe akili

Mashabiki wa Simba wakapimwe akili

Adimu

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2013
Posts
678
Reaction score
308
Najalibu kujiuliza nguvu ipi wanaipata mashabiki ambao timu yao imefungwa mala nne mfululizo na mechi ya tano wameingia mitini kwa kuogopa kipigo lakini bado wanajipa moyo kujifanya wanatamba, wamezidiwa kwa makombe lakini bado wanatamba, ndio timu iliyofungwa magoli mengi zaidi na mechi nyingi zaidi ukilinganisha timu hizi mbili lakini bado wanatamba.
Ndio timu iliyonusurika kushuka daraja ikabebwa na mtani wake isishuke lakini bado wanatamba, ndio timu pekee duniani iliyowahi kupigwa kipigo cha mmbwa koko kipindi cha kwanza na wakaingia mitini katikati ya mechi bado wanatamba, wanashiriki shirikisho na wenzao walikua club bingwa lakini bado wanatamba, na kadhalika lakini bado wanatamba tuu.
Hawa mashabiki kuna kila namna itumike wapimwe uwezo wa kufikiri, yaani ukiwa kolo unawezaje kutibiwa kutoka kwenye ukolo.
 
Mechi ipi hy simba aliingia mitini baada ya kulambwa kipindi cha kwanza?
 
Mechi ipi hy simba aliingia mitini baada ya kulambwa kipindi cha kwanza?
Ligi kuu ya jamuhuri ya muungano wakati huo, hiyo ni baada ya makolo kufungwa mechi tatu mfululizo zilizopita
 
Ngoja aje Jadda ataandika gazeti zima kupinga hoja zako ambazo ziko simple clear and plain.
 
Naomba mkianza kipimo muanze na yule naniliu. Teh
 
Wewe na mashabiki wa Simba nani anayehangaika zaidi kuhusu mwenzake!?.., anamuwazia sana mpaka kuanzisha thread kwa mwandiko wa darasa la 5A!?
 
Wewe na mashabiki wa Simba nani anayehangaika zaidi kuhusu mwenzake!?.., anamuwazia sana mpaka kuanzisha thread kwa mwandiko wa darasa la 5A!?
Ndomana tunasema mashabiki wa simba ni makolo
 
Ndomana tunasema mashabiki wa simba ni makolo
Bado hujaelewa, mashabiki wa Simba muda huu wapo kwenye shughuli zao za maendeleo, wewe unawawaza mpaka umefungua thread hapa!?,nani anayehangaika na mwenzake kati yako na wao!?,ni kama unateseka na ushabiki wao. Ila mara nyingi ni dalili za mtu kutokuwa bize.
 
Aisee wewe ni mwanaume kweli???
Baba wa Familia????


KUWA NA WANAUME KAMA WEWE NI HASARA KWA TAIFA.
 
Nchi yetu itaendelea kuwa masikini milele na milele.


MWALIMU NYERERE ANAMALIZA KWA USHAIRI KWENYE KITABU CHAKE.

UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.

Ole wake Tanzania Tusipoisaidia
Niwezalo nimelifanya kushauri na kuonya nimeonya.

tahadhali nimetoa ushauri na kuonya nimeshatoka kitini zaidi nifanye nini.

Namlilia Jaalia atumulikie njia Tanzania ailinde WAOVU wasiishinde.

Amina Tena Amina Amina Tena amina


UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.
MWALIMU JK NYERERE
 
Bado hujaelewa, mashabiki wa Simba muda huu wapo kwenye shughuli zao za maendeleo, wewe unawawaza mpaka umefungua thread hapa!?,nani anayehangaika na mwenzake kati yako na wao!?,ni kama unateseka na ushabiki wao. Ila mara nyingi ni dalili za mtu kutokuwa bize.
Mlala hoi shuguli zako ni pulukushani, usiforce tufanane. Ila mbona kama kuna makasiriko ndugu au ni kolo
 
Aisee wewe ni mwanaume kweli???
Baba wa Familia????


KUWA NA WANAUME KAMA WEWE NI HASARA KWA TAIFA.
Ndo wale makolo tunaowasema, ila tutafika tu japo kwakuchoka sana
 
Aisee wewe ni mwanaume kweli???
Baba wa Familia????


KUWA N

Aisee wewe ni mwanaume kweli???
Baba wa Familia????


KUWA NA WANAUME KAMA WEWE NI HASARA KWA TAIFA.
Bila shaka ww ni ke, wanaume tunajenga hoja kuhusu masuala ya mwenendo wa makolo, jibu iyo hoja au unahitaji kua mwanafamilia, mimi mke tayari ninae jadili mada sihitaji mke wa pili
 
MWALIMU NYERERE ANAMALIZA KWA USHAIRI KWENYE KITABU CHAKE.

UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.

Ole wake Tanzania Tusipoisaidia
Niwezalo nimelifanya kushauri na kuonya nimeonya.

tahadhali nimetoa ushauri na kuonya nimeshatoka kitini zaidi nifanye nini.

Namlilia Jaalia atumulikie njia Tanzania ailinde WAOVU wasiishinde.

Amina Tena Amina Amina Tena amina


UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.
MWALIMU JK NYERERE
 
MWALIMU NYERERE ANAMALIZA KWA USHAIRI KWENYE KITABU CHAKE.

UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.

Ole wake Tanzania Tusipoisaidia
Niwezalo nimelifanya kushauri na kuonya nimeonya.

tahadhali nimetoa ushauri na kuonya nimeshatoka kitini zaidi nifanye nini.

Namlilia Jaalia atumulikie njia Tanzania ailinde WAOVU wasiishinde.

Amina Tena Amina Amina Tena amina


UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.
MWALIMU JK NYERERE
Sio kila mada lazima uchangie, unaweza pita kimya kama imekuuma
 
Back
Top Bottom