Mashabiki wa Simba na Yanga tunatia aibu kwenye mitandao, tujirebishe

Kuna mwehu anasema Samatta aliondolewa Villa kisa comments za wabongo kwenye page ya Villa
Sio kweli

Hii ishu ya watu kuvamia kwenye pages za celebrities au Clubs huwa inatokea sehemu nyingi tu tena haifanywi na wabongo.

Mtazame Maguire kile kipindi alichokuwa akiandamwa kutokana na performance yake uwanjani mpaka akatishiwa usalama wake

Kwenye pages za Man U kila baada ya mechi wakipost tu watu walikuwa wakivamia posts na kumsema Maguire.

Maana yake hadi Man U ingeweza kuachana na Maguire kufuatia comments za watu kwenye pages za Club.

Na hizo ndio nyakati ambazo unaona hadi wachezaji wakipost chochote kwenge pages zao wana turn off comments.
 
Kipindi hiki mashabiki wa Simba na Yanga tumevamia page za Mamelodi na Ahly kwa shobo na mbwembwe.

Watu wanaweka comment, hadi ukichungulia unaona hivi hawa watu wanatuonaje watanzania tunaonekana malofa mno.

Team inaweza kupost mazoezi likatokea shabiki lina comment " yanga wana majini mjipange, mara mbumbumbu, mara ujinga gani, mara waziri katuzuia tusivae jezi kuwashangilia"

Yaani Watanganyika tupo kama mazuzu, hatuna ustaarabu wengi ni mapoyoyo.

Kabla ya draw Mamelod walikuwa wakipost hawazidi comments 50 ila kwa sasa wakipost comments zinafika zaidi ya 5000 na wanaocomment ni Watanganyika wapumbavu wala Wazulu hawana habari na Mamelod ila wabongo ni kubwabwaja kama malofa.

Nadhani Serikali itoe elimu sahihi juu ya matumizi sahihi ya mitandao, tupunguze japo kutia aibu huko duniani.

Muwe na wasaa mwema
Hii nchi ina janga la utaahira.
 
Sio kweli

Hii ishu ya watu kuvamia kwenye pages za celebrities au Clubs huwa inatokea sehemu nyingi tu tena haifanywi na wabongo.

Mtazame Maguire kile kipindi alichokuwa akiandamwa kutokana na performance yake uwanjani mpaka akatishiwa usalama wake

Kwenye pages za Man U kila baada ya mechi wakipost tu watu walikuwa wakivamia posts na kumsema Maguire.

Maana yake hadi Man U ingeweza kuachana na Maguire kufuatia comments za watu kwenye pages za Club.

Na hizo ndio nyakati ambazo unaona hadi wachezaji wakipost chochote kwenge pages zao wana turn off comments.
Kuna jamaa bullar anataka kutulisha ujinga wake. Eti club inamwacha mchezaji kwasababu ya comments za social network.
 
Kipindi hiki mashabiki wa Simba na Yanga tumevamia page za Mamelodi na Ahly kwa shobo na mbwembwe.

Watu wanaweka comment, hadi ukichungulia unaona hivi hawa watu wanatuonaje watanzania tunaonekana malofa mno.

Team inaweza kupost mazoezi likatokea shabiki lina comment " yanga wana majini mjipange, mara mbumbumbu, mara ujinga gani, mara waziri katuzuia tusivae jezi kuwashangilia"

Yaani Watanganyika tupo kama mazuzu, hatuna ustaarabu wengi ni mapoyoyo.

Kabla ya draw Mamelod walikuwa wakipost hawazidi comments 50 ila kwa sasa wakipost comments zinafika zaidi ya 5000 na wanaocomment ni Watanganyika wapumbavu wala Wazulu hawana habari na Mamelod ila wabongo ni kubwabwaja kama malofa.

Nadhani Serikali itoe elimu sahihi juu ya matumizi sahihi ya mitandao, tupunguze japo kutia aibu huko duniani.

Muwe na wasaa mwema
Umekula ugali?
 
Sio kweli

Hii ishu ya watu kuvamia kwenye pages za celebrities au Clubs huwa inatokea sehemu nyingi tu tena haifanywi na wabongo.

Mtazame Maguire kile kipindi alichokuwa akiandamwa kutokana na performance yake uwanjani mpaka akatishiwa usalama wake

Kwenye pages za Man U kila baada ya mechi wakipost tu watu walikuwa wakivamia posts na kumsema Maguire.

Maana yake hadi Man U ingeweza kuachana na Maguire kufuatia comments za watu kwenye pages za Club.

Na hizo ndio nyakati ambazo unaona hadi wachezaji wakipost chochote kwenge pages zao wana turn off comments.
Situation ya Maguire na Samatta zina fanana?
 
Kipindi hiki mashabiki wa Simba na Yanga tumevamia page za Mamelodi na Ahly kwa shobo na mbwembwe.

Watu wanaweka comment, hadi ukichungulia unaona hivi hawa watu wanatuonaje watanzania tunaonekana malofa mno.

Team inaweza kupost mazoezi likatokea shabiki lina comment " yanga wana majini mjipange, mara mbumbumbu, mara ujinga gani, mara waziri katuzuia tusivae jezi kuwashangilia"

Yaani Watanganyika tupo kama mazuzu, hatuna ustaarabu wengi ni mapoyoyo.

Kabla ya draw Mamelod walikuwa wakipost hawazidi comments 50 ila kwa sasa wakipost comments zinafika zaidi ya 5000 na wanaocomment ni Watanganyika wapumbavu wala Wazulu hawana habari na Mamelod ila wabongo ni kubwabwaja kama malofa.

Nadhani Serikali itoe elimu sahihi juu ya matumizi sahihi ya mitandao, tupunguze japo kutia aibu huko duniani.

Muwe na wasaa mwema
bando bei rahisi we unadhani utawazuiaje mkuu
 
Mpira ni biashara na products ni mashabiki.

Simba na Yanga tuna utamaduni wetu ambao napendezewa nao ndio maana huwa nakuwa na mashaka na watu wanaosema Simba na Yanga ni Derby ya tano África.

Watu kujazana kwenye pages za timu ambazo zinajiandaa kucheza na timu zetu naona ni kitu kizuri.

Hiyo ndio nzuri sema unaiona simple kwasababu haifanyiki kwako.

Kwanza inaonesha kuwa Taifa letu lina mwamko wa watu kupenda mpira..

Vipi ungeona Al Ahly na Mamelodi wakijazana kwenye pages za Simba kama hivyo we ungejiskiaje?

Lazima uwe proud.

Basi pamoja na kwamba hiki kitu kwako unakiona cha kishamba lakini wao Mamelodi wanakifurahia na kweli kinawasaidia katika kujitangaza.

So siku nyingine hata ikitokea mnaomba friend match kwenye siku ya mwananchi watakuwa rahisi kuwakubalia kwasababu wanaijua nguvu yenu.
Leo nakubaliana na ww
 
"Mamelody wakipost kitu kwenye ukurasa wao reply huwa ni mia 200 mpaka 300.

sasa wamepost haya maneno kama yalivyo kwa kiswahili,,"tunawatakia weekend njema Masandawana",wabongo wakavamia ukurasa wa watu reply sasa zinakimbilia reply 10,000/.
 
ndo shida ya :
simu bei rahisi
bando bei chee
jobless
ulimbukeni


tupo kama mazombi, tunadhalilika sana kama taifa

Simple mind!!, kwahiyo inawezekana na ww Kuna angle upo kama hao.... Labda ungesema ulimbukeni. But habari ya sijui bando,Mara simu chee huo ni mtazamo finyu.
 
Nyerere alituweza kwenye lugha tungejua English ingekua zaidi ya hapa, kwenye pages za watu hadi huwa naona aibu.

N:B moja ya sababu zilizochangia Samatta kudondoka Aston villa ni matusi na comments za kijinga kwenye page yao.
ni kinyaa sana. watu weusi hasa watz ni wajinga sana.
 
Ila kwenye issue ya Sammata ilitia aibu sana. Kuna comment nilisoma mpaka nikawa nashangaa. Kwakweli mashabiki wabongo shida Sana.
madhara ya shule hafifu
.ukweli mchungu asilimia kubwa wa raia wa tz ni vilaza watu wasio na upeo wowote.
 
Ona huu ujinga
images%20(11).jpg
images%20(12).jpg
 
Back
Top Bottom