Mashabiki wa Simba na Yanga tunatia aibu kwenye mitandao, tujirebishe

ngara23

JF-Expert Member
Aug 31, 2019
2,386
5,229
Kipindi hiki mashabiki wa Simba na Yanga tumevamia page za Mamelodi na Ahly kwa shobo na mbwembwe.

Watu wanaweka comment, hadi ukichungulia unaona hivi hawa watu wanatuonaje watanzania tunaonekana malofa mno.

Team inaweza kupost mazoezi likatokea shabiki lina comment " yanga wana majini mjipange, mara mbumbumbu, mara ujinga gani, mara waziri katuzuia tusivae jezi kuwashangilia"

Yaani Watanganyika tupo kama mazuzu, hatuna ustaarabu wengi ni mapoyoyo.

Kabla ya draw Mamelod walikuwa wakipost hawazidi comments 50 ila kwa sasa wakipost comments zinafika zaidi ya 5000 na wanaocomment ni Watanganyika wapumbavu wala Wazulu hawana habari na Mamelod ila wabongo ni kubwabwaja kama malofa.

Nadhani Serikali itoe elimu sahihi juu ya matumizi sahihi ya mitandao, tupunguze japo kutia aibu huko duniani.

Muwe na wasaa mwema
 
Acha dharau mkuu,hao mashabiki wenye shobo ndio wanaofanya team zetu ziongoze kwenye socia
Kustaarabika ni muhimu kwani team zisizoongoza tumezizidi nini

Yaani Yanga na Simba watawazidi TP Mazembe, Es Tunis, Raja Casablanca kitu gani na mtandaoni hawana shobo kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
images (1)-1.jpeg
 
Nyerere alituweza kwenye lugha tungejua English ingekua zaidi ya hapa, kwenye pages za watu hadi huwa naona aibu.

N:B moja ya sababu zilizochangia Samatta kudondoka Aston villa ni matusi na comments za kijinga kwenye page yao.
 
Kipindi hiki mashabiki wa Simba na Yanga tumevamia page za Mamelodi na Ahly kwa shobo na mbwembwe
Watu wanaweka commet, hadi ukichungulia unaona hivi hawa watu wanatuonaje watanzania tunaonekana malofa mno

Team inaweza kupost mazoezi likatokea shabiki lina comment " yanga wana majini mjipange, mara mbumbumbu, mara ujinga gani, mara waziri katuzuia tusivae jezi kuwashangilia"

Yani Watanganyika tupo kama mazuzu, hatuna ustaarabu wengi ni mapoyoyo

Kabla ya draw Mamelod walikuwa wakipost hawazidi comments 50 ila kwa sasa wakipost comments zinafika zaidi ya 5000 na wanaocomment ni Watanganyika wapumbavu wala Wazulu hawana habari na Mamelod ila wabongo ni kubwabwaja kama malofa

Nadhani serikali itoe elimu sahihi juu ya matumizi sahihi ya mitandao, tupunguze japo kutia aibu huko duniani

Muwe na wasaa mwema

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla hatujaanza kutoa elimu ya mitandao tuanze na matumizi sahihi ya simu,
WaTanzania wanaweza kupiga missed call 9 kuulizia kitu ambacho wanaweza kutuma tu message wakajibiwa baadae, haha
 
Mpira ni biashara na products ni mashabiki.

Simba na Yanga tuna utamaduni wetu ambao napendezewa nao ndio maana huwa nakuwa na mashaka na watu wanaosema Simba na Yanga ni Derby ya tano África.

Watu kujazana kwenye pages za timu ambazo zinajiandaa kucheza na timu zetu naona ni kitu kizuri.

Hiyo ndio nzuri sema unaiona simple kwasababu haifanyiki kwako.

Kwanza inaonesha kuwa Taifa letu lina mwamko wa watu kupenda mpira..

Vipi ungeona Al Ahly na Mamelodi wakijazana kwenye pages za Simba kama hivyo we ungejiskiaje?

Lazima uwe proud.

Basi pamoja na kwamba hiki kitu kwako unakiona cha kishamba lakini wao Mamelodi wanakifurahia na kweli kinawasaidia katika kujitangaza.

So siku nyingine hata ikitokea mnaomba friend match kwenye siku ya mwananchi watakuwa rahisi kuwakubalia kwasababu wanaijua nguvu yenu.
 
Mpira ni biashara na products ni mashabiki.

Simba na Yanga tuna utamaduni wetu ambao napendezewa nao ndio maana huwa nakuwa na mashaka na watu wanaosema Simba na Yanga ni Derby ya tano África.

Watu kujazana kwenye pages za timu ambazo zinajiandaa kucheza na timu zetu naona ni kitu kizuri.

Hiyo ndio nzuri sema unaiona simple kwasababu haifanyiki kwako.

Kwanza inainesha kuwa Taifa letu lina mwamko wa watu kupenda mpira.

Vipi ungeona Al Ahly na Mamelodi wakijazana kwenye pages za Simba kama hivyo we ungejiskiaje?

Lazima uwe proud.

Basi pamoja na kwamba hiki kitu kwako unakiona cha kishamba lakini wao Mamelodi wanakifurahia na kweli kinawasaidia katika kujitangaza

So siku nyingine hata ikitokea mnaomba friend match kwenye siku ya mwananchi watakuwa rahisi kuwakubalia kwasababu wanaijua nguvu yenu.
Issue sio kujazana kwenye page shida ni aina ya comments, matusi na ujinga ujinga plus imani za kishirikina ina maana bongo ndio kuna muamko wa mpira kuliko nchi zingine mbona huwezikuta matusi kwenye page za timu za Ulaya?
 
Kipindi hiki mashabiki wa Simba na Yanga tumevamia page za Mamelodi na Ahly kwa shobo na mbwembwe
Watu wanaweka commet, hadi ukichungulia unaona hivi hawa watu wanatuonaje watanzania tunaonekana malofa mno

Team inaweza kupost mazoezi likatokea shabiki lina comment " yanga wana majini mjipange, mara mbumbumbu, mara ujinga gani, mara waziri katuzuia tusivae jezi kuwashangilia"

Yani Watanganyika tupo kama mazuzu, hatuna ustaarabu wengi ni mapoyoyo

Kabla ya draw Mamelod walikuwa wakipost hawazidi comments 50 ila kwa sasa wakipost comments zinafika zaidi ya 5000 na wanaocomment ni Watanganyika wapumbavu wala Wazulu hawana habari na Mamelod ila wabongo ni kubwabwaja kama malofa

Nadhani serikali itoe elimu sahihi juu ya matumizi sahihi ya mitandao, tupunguze japo kutia aibu huko duniani

Muwe na wasaa mwema

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe huoni hiyo ni faida kwao mitandao yao imechangamka.
Means mashabiki wa Tanzania wapo active uwanjani na mtandaoni..
Safi kabisa hayo mengine ni lazima yaibuke tu kwenye wengi kuna mengi.
 
Nyerere alituweza kwenye lugha tungejua English ingekua zaidi ya hapa, kwenye pages za watu hadi hua naona aibu
N:b moja ya sababu zilizo changia Samatta kudondoka Aston villa ni matusi na comments za kijinga kwenye page yao
Mbwana Samata alijuta na wabongo walichomfanyia kwenye page ya aston villa, yule msanii wa Nigeria ndio aliamua kututukana kabisa
 
Mpira ni biashara na products ni mashabiki.

Simba na Yanga tuna utamaduni wetu ambao napendezewa nao ndio maana huwa nakuwa na mashaka na watu wanaosema Simba na Yanga ni Derby ya tano África.

Watu kujazana kwenye pages za timu ambazo zinajiandaa kucheza na timu zetu naona ni kitu kizuri.

Hiyo ndio nzuri sema unaiona simple kwasababu haifanyiki kwako.

Kwanza inainesha kuwa Taifa letu lina mwamko wa watu kupenda mpira.

Vipi ungeona Al Ahly na Mamelodi wakijazana kwenye pages za Simba kama hivyo we ungejiskiaje?

Lazima uwe proud.

Basi pamoja na kwamba hiki kitu kwako unakiona cha kishamba lakini wao Mamelodi wanakifurahia na kweli kinawasaidia katika kujitangaza

So siku nyingine hata ikitokea mnaomba friend match kwenye siku ya mwananchi watakuwa rahisi kuwakubalia kwasababu wanaijua nguvu yenu.
Ushabiki bila ustaarabu ni uhuni
Hakuna atapenda kufanya biashara na watu oya oya tu wasiojielewa
Wangekuwa wanaocomment kufurahia mchezo hapo sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom