Inaonesha wewe ndo mfuasi wa huyo mange wako ndo maana unamkumbuka muda woteKuna watanzania walikuwa kila kukicha wao na Mange na Mange na wao katika kuitukana nakuikosoa Serikali kwa kila jambo sasa umetokea msiba mkubwa wataifa je huyo mdada wenu ameshawatumia hata salamu za rambirambi toka huko majuu?
Au naye ndo amewasusa baada ya nyie kumsusia maandama yake?
FANYA KAZI WEWEEKuna watanzania walikuwa kila kukicha wao na Mange na Mange na wao katika kuitukana nakuikosoa Serikali kwa kila jambo sasa umetokea msiba mkubwa wataifa je huyo mdada wenu ameshawatumia hata salamu za rambirambi toka huko majuu?
Au naye ndo amewasusa baada ya nyie kumsusia maandama yake?
Wewe umetoa rambirambi kiasi gani?Kuna watanzania walikuwa kila kukicha wao na Mange na Mange na wao katika kuitukana nakuikosoa Serikali kwa kila jambo sasa umetokea msiba mkubwa wataifa je huyo mdada wenu ameshawatumia hata salamu za rambirambi toka huko majuu?
Au naye ndo amewasusa baada ya nyie kumsusia maandama yake?
Kuna watanzania walikuwa kila kukicha wao na Mange na Mange na wao katika kuitukana nakuikosoa Serikali kwa kila jambo sasa umetokea msiba mkubwa wataifa je huyo mdada wenu ameshawatumia hata salamu za rambirambi toka huko majuu?
Au naye ndo amewasusa baada ya nyie kumsusia maandama yake?
Vuta hashish wewe.FANYA KAZI WEWEE
Ni bora huyo asiandike chochote maana she is no body, lakini kitendo cha mkuu kuacha kwenda Ukerewe kwenye msiba mkubwa kama huo, huku akiacha kazi zake na kwenda kumpkea airport mtu mmoja ambaye alipata ajali achilia mbali kutuma ndege ya kumfuata mtu huyo mmoja kwenye eneo la ajari, linaleta ukakasi.
wengine hatuhitaji umaarufu kama unavyodhani.
Unamahaba wew si bureNi aibu kubwa pia kwa mwanaume kuujibu upupu!
FANYA KAZI WEWEE
Yaan mm huwa nawashangaa sana baadh ya watu unakuja humu na akil zko timamu unaandika ujinga kbsa ambao hats kichaa hawez waza km huna kitu hats wazo pita km upepo