Mashabiki wa MAN U MNAHAMIA WAPI JAMAN

Mashabiki wa MAN U MNAHAMIA WAPI JAMAN

uliona wapi kocha bora akatoka Everton?

Hata mimi nilishangaa sana..hivi huyu moyes kawahi kuchukua kombe lolote na everton?sijui basis za kumpa ukocha man utd zilikiwa nini?
 
kombe la mbuzi hilo ndo maana mara nying timu kubwa huwa zinatolewa km huamini subiri

Unajua mpira wa Uingereza au unashabikia tu? Waulize wenyewe wakuambie historia ya FA Cup..wewe baki kushabikia mpira wa makaratasi!:smash:
 
Unajua mpira wa Uingereza au unashabikia tu? Waulize wenyewe wakuambie historia ya FA Cup..wewe baki kushabikia mpira wa makaratasi!:smash:


Ngoja nikupe historia ya FA CUP;
1.Kombe hilo ndo kombe la kwanza kabisa kuanzisha kwenye mashindano ya mpira wa miguu(1871-1872). Hakuna ligi ya mpira wa miguu inayoitangulia FA CUP kwa hiyo ..FA cup si 'kombe la mbuzi'
2. Man Utd ndiyo timu ambayo imechukua mara nyingi ubingwa wa FA Cup, kama lingekuwa kombe la mbuzi wasingekuwa wanaongoza kwa kulichukua mara nyingi:
3. Mwaka huu ni "mgumu" kwa Man Utd huo ni ukweli na hakuna ubishi.

Orodha ya Mabingwa wa FA Cup.
Man Utd = 11
Arsenal = 10
Spurs = 8
Chelsea = 7
Liverpool =7
Aston Villa = 7
Blackburn Rovers = 6
Everton = 5.
 
Ngoja nikupe historia ya FA CUP;
1.Kombe hilo ndo kombe la kwanza kabisa kuanzisha kwenye mashindano ya mpira wa miguu(1871-1872). Hakuna ligi ya mpira wa miguu inayoitangulia FA CUP kwa hiyo ..FA cup si 'kombe la mbuzi'
2. Man Utd ndiyo timu ambayo imechukua mara nyingi ubingwa wa FA Cup, kama lingekuwa kombe la mbuzi wasingekuwa wanaongoza kwa kulichukua mara nyingi:
3. Mwaka huu ni "mgumu" kwa Man Utd huo ni ukweli na hakuna ubishi.

Orodha ya Mabingwa wa FA Cup.
Man Utd = 11
Arsenal = 10
Spurs = 8
Chelsea = 7
Liverpool =7
Aston Villa = 7
Blackburn Rovers = 6
Everton = 5.

Mkuu ucumie kichwa kwa mashbiki wa 2010-2012,mpira una historia zake bhana
 
Arsenal mlihamiaga barca sisi hatuhami japo hatuna chetu.
 
Unajua mpira wa Uingereza au unashabikia tu? Waulize wenyewe wakuambie historia ya FA Cup..wewe baki kushabikia mpira wa makaratasi!:smash:

FA cup kombe kongwe zaidi duniani, Moyes is an average coach and Man U shall therefore be an average team
 
Hata mimi nilishangaa sana..hivi huyu moyes kawahi kuchukua kombe lolote na everton?sijui basis za kumpa ukocha man utd zilikiwa nini?

Dili la Fergie
Mshahara wa DAVID NYOSHI MOYES wanagawana!:A S 112:


kama ulikuwa hujui!
 
TunahAmia simba fc unafikili tutahimia arsenal wapi jembe tukuulize nani anakombe la premire
 
Hii hapa
 

Attachments

  • 1389072531470.jpg
    1389072531470.jpg
    9.1 KB · Views: 106
Wahamie chelsea dirisha dogo,washabiki wote walioumizwa na moyes
 
Back
Top Bottom