Mashabiki wa Alikiba wamvaa Seven Mosha, wasema wamechoshwa na hujuma zake dhidi ya King

Tatizo watu wanamlazimisha Kiba,alishaamua kustaafu lakini mnafosi ndio kuadhirika huku.
Kiba hana tofauti na Babu Ayubu kwa sasa.Anakwenda kwenye show na Shabiby Express,lazima afike saa 7 za usiku
 
mi si shabiki wa matimu wimbo mzuri nasikiliza hata aimbe nani.. ila kiukweli alikiba ana pride sana anajiinua mno ,, na hajui umuhimu wa customer care yupo yupo tu, yani anajifanya yeye ni maji kama hutayaoga utayanywa any way ajirekebishe dunia sasa ni ushindani
nilisema kabisa !KIBA NI KAMA YEYE NDO ANATAKIWA KUNUNUA KAZI ZA MASHABIKI WAKE!
 
UNAPANDAJE JUKWAA KUNA KRETI ZA SODA STEJINI?
JUZI TENA NIMEKAA SALOON,NAONA ANAIMBA NA MR BLUE,
KIBA KAVAA KAPTURA,VIATU MOKASIN,KOTI LA AJABU LILE LA VIFUNGO VINGI VINGI VY GOLD SIJUI,KIFUA WAZI!
ANARUK ruka tu pale juu!HAKIIII NILIHSHINDWA KUELEWA !

KINACHOMPA KIBURI KIBA NI NINI?
PRIDE YA KIPUUZI KABISA!
WELL HATUWEZI KUACHA KUMFANANISHA NA NASEEB MAANA NDIYE ANATAKA AOENEKANE KAMZIDI!

ANAMUONA MWENZIE ANAVYOPANDA STAGE?
ANAONA ANAVYOVAA?
SISEMI AVAE KAMA YEYE ,HEBU ATAFUTE MUONEKANO WA MSANII!
ANAVAA KAWAIDA MNOOOO,TENA SIO KAWAIDA ANAVAA VIBAYA MNOOO!
ANA UMBO ZURI HAJUI KULITUMIA!KAZI KUTUKUNJIA MDOMO!
MWAMBIENI ANA SAUTI NZURI AJABU!KIBA BABA MUZIKI NI ZAIDI YA SAUTI!ZAIDI YA KUIMBA NA RKELLY!
ZAIDI!ZAIDI!


BICHWA KAMA ANAVYOJIITA ILA BICHWA TUPU KABISA!
DIAMOND ANGEPEWA SAUTI YAKE WALLAHI MJINI TUNGEHAMA!
BUT HATA DIAMOND AMUACHIE WCB KAMA ILIVYO NA KINA IYOBO AMPE MPK NA KIFESI!ATABAKI KUWA HIVYO HIVYO NA ATAUNDA WCB NYINGINE ITAMFUNIKA AKIWA HAPO HAPO NA UKING FARU JOHN WAKE!

enh mwambieni!
 
Back
Top Bottom