gango2
JF-Expert Member
- Aug 31, 2011
- 1,941
- 2,251
Hili ni swali ambalo kama umekuwa mdadisi wa maswali ya usafirishaji wa anga utakuwa unajiuliza!
hivi karibuni Mkurugenzi mkuu wa iliyokuwa FASTJET Lawrence Masha, katika ukurasa wake wa instagram amepost picha ambayo inaashiria kurudi kwa fastjet lakini kwa jina la AFRIJET!
Ikumbukwe hivi karibuni Tanzania Civil Aviation Authority iliifungia fastjet kutoa huduma zake hapa Tanzania lakini mwenyekiti mtendaji Lawrence Masha alisema FASTJET walikuwa tayari wamepata ndege zingine tatu kwaajili ya kusupport huduma za FASTJET!
Sisi wadau wa usafirishaji wa anga tunaikaribisha AFRIJET (ambayo imejikita kutoa huduma west africa) kwani tunaamini katika ushindani ndipo pana huduma bora!
hivi karibuni Mkurugenzi mkuu wa iliyokuwa FASTJET Lawrence Masha, katika ukurasa wake wa instagram amepost picha ambayo inaashiria kurudi kwa fastjet lakini kwa jina la AFRIJET!
Ikumbukwe hivi karibuni Tanzania Civil Aviation Authority iliifungia fastjet kutoa huduma zake hapa Tanzania lakini mwenyekiti mtendaji Lawrence Masha alisema FASTJET walikuwa tayari wamepata ndege zingine tatu kwaajili ya kusupport huduma za FASTJET!
Sisi wadau wa usafirishaji wa anga tunaikaribisha AFRIJET (ambayo imejikita kutoa huduma west africa) kwani tunaamini katika ushindani ndipo pana huduma bora!