Haya tena, JK katinga Mwanza kimyakimya kunani? au ndiye aliyewashauri wagome kusaini ili fujo zitokee na wafiche aibu kwa gharama ya damu?
Apone haraka ili atambue kuwa demokrasia hainunuliwi kwa fedha, watanzania wameamka sasa "KULA CCM KURA CHADEMA". Masha alimwaga fedha nyingi sana, na kwa maisha yake atazipata kwa tabu sana. Arudi tu kwenye law firm yake au acharukie marekani alikokuwa. Hana haiba kabisa, kwanza aje hapa atueleze kampuni yake na wenziwe walifaidikaje na hela ya EPA, DEEP green etc. Yaani pesa zile ndizo anaendelea nazo kutesa kwa kununua demokrasia? Watanzania walio wengi sasa wanasema "HATUDANGANYIKI".
Asilete mambo ya kisenge-rema!mwanza hapatoshi dialo kamwagwa, masha agoma kasaini matokeo..haonekani..
Kwani nae ana presha! mbona bado kijana sana au ndio kihoro cha kukosa ulaji?
Inaelekea thithiem wameamua/wamekubaliana kung'ang'ania kubaki madarakani kwa kuyakataa matokeo na hivyo kutosaini form ya matokeo. Inaelekea kuna trend hapa maana Masha, Diallo na Batilda wameshayakataa matokeo.
WUMUWEKEE DRIP LA BANGI LIMPOTEZEE MAWAZO.:hippie:
Monica Mbega naye hali yake kiafya si nzuri, helicopter inamuhamishia Dar