stanluva
Senior Member
- Apr 7, 2009
- 153
- 32
Mode huyu Mfunyukuzi atatugombanisha! Kinachofuata sasa ni Kufungiwa kwa JF ngija mzee wa misifa GM waziri wa manews hazione humu ndani! Utasikia kashkash yake! Me nasema inabidi tuwe na tahadhali na Picha zinazoletwa humu ndani! Haya langu Jicho tu mwaya!