Masanduku ya kura yadaiwa kukamatwa jimboni Hanang...

Status
Not open for further replies.
Lakini ndugu yangu wamiliki was hii site wao ndio wanaocontrol na wanajua IP address ya comment zinapotoka.So kwa hilo unalolizungumza sidhani kama linauzito sana humu
 
Chadema kwa kuzua.mwaka 2010 walizua kuna lori limekamatwa likiwa na kura.hivi inaingia akili kweli waziri mzima atembee na kura? Acheni kuota mchana mtapata uchizi

**** kubwa wewe,CCM si balozi,diwani,mbuge,waziri yote yamekaa kiwiziwizi tu. Angalia yule mbuge Gaudencia Kabaka katika kura za maoni ndani ya CCM si alikamatwa na kura akiwa tayari ameshapiga!?
 
Hayo maccm ni majizi kabisa na mwaka huu lazima tuyakamue

Tutayakamua lakini cha msingi ni kuyakamua nini. Tunaweza kuyakamua yakabaki kuwepo lakini ukisema tutayakamua ngama hapo itakuwa poa kwa kuwa hii tunawaua kabisa kisiasa
 
Wakuu kwa habari za hivi punde kutoka Hanang ni kuwa Dr Mary Nagu amekamatwa na maboksi kumi ya kura yakiwa yashapigiwa kura tayari huko Hanang. Sasa hivi amekamatwa yupo Polisi,taarifa zaidi zinakuja.

Majizi sana hayo na mwaka huu lazima tuyaondoe kabisa
 

Pole gamba
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…