Sahihisho, hawa si Wamasai. Kinamama wa Kimasai hunyoa nywele zote na wala hawasuki. Hawa nawafananisha na kabila la Karamoja lipatikanalo kaskazini mwa Uganda na kusini mwa Sudan. Nakaribisha kusahihishwa pia.
Sahihisho, hawa si Wamasai. Kinamama wa Kimasai hunyoa nywele zote na wala hawasuki. Hawa nawafananisha na kabila la Karamoja lipatikanalo kaskazini mwa Uganda na kusini mwa Sudan. Nakaribisha kusahihishwa pia.
Hapo shingoni, huo ni mkanda wa risasi au .......?!
sasa kama hawa si wamasai, mweka mada alikuwa na lengo gani kutudanganya sisi wengine ambao hatuna ujuzi wa kutosha kupambanua kati ya wamasai na makabila mengine? haoni kuwa amewakosea haki wamasaid kwa kuwaonyesha kama 'watu wa vitavita?'Sahihisho, hawa si Wamasai. Kinamama wa Kimasai hunyoa nywele zote na wala hawasuki. Hawa nawafananisha na kabila la Karamoja lipatikanalo kaskazini mwa Uganda na kusini mwa Sudan. Nakaribisha kusahihishwa pia.
Hiyo ni AK47,SMG inakuwa na umbo dogo kidogo.Naomba pia kuuliza hapa jukwaani kwa wenye ufahamu wa hiyo silaha huwa ni AK 47 au ni SMG??? Naomba kusaidiwa waungwana
Hiyo ni AK47,SMG inakuwa na umbo dogo kidogo.
Na kwa SMG inahitaji uangalifu wa zaidi hasa kwenye usafi na matunzo.Wakati AK47 ni rahisi kuitunza haina milolongo mingi.
Kwa hiyo hao watu wa vijijini ni rahisi kwao kutumia AK47
Sahihisho, hawa si Wamasai. Kinamama wa Kimasai hunyoa nywele zote na wala hawasuki. Hawa nawafananisha na kabila la Karamoja lipatikanalo kaskazini mwa Uganda na kusini mwa Sudan. Nakaribisha kusahihishwa pia.
Uko sahihiSahihisho, hawa si Wamasai. Kinamama wa Kimasai hunyoa nywele zote na wala hawasuki. Hawa nawafananisha na kabila la Karamoja lipatikanalo kaskazini mwa Uganda na kusini mwa Sudan. Nakaribisha kusahihishwa pia.