kwini kimbwala
Member
- Jul 31, 2016
- 36
- 11
Dawa za nguvu za kiume ..njoo kwa mtaalamu tiba asili..dr kanyas.0744069527
Mkuu ulichokisema ni point 100% ... Nimeprove hicho kitu binafsi na pia niliwah kuongea na daktari bingwa wa hizo mambo akaniambia ni wenge zetu tu..japo kuna mengine ila kubwa ni saikolojiaKwa wanaume wengi NGUVI ZA KIUME ni swala la kisaikolojia tu, akishaambiwa lazima bao tatu na yeye kapiga moja basi anajiona mdhaifu
Wengine ni shida ya kutokaa vijijini,mimi nimekaa vijiji vya karibu na wamasai,wana mzizi au magome ya mti wanatumia kwa ajili hiyo,yenyewe haifanyi kazi kana viagra kwa haraka,unaitumia kwa muda kama wiki ndio unaona matokeo,pia yenyewe ni permanent ukishatumia tatizo linaisha jumla sio kama viagra ukiacha unarudi palepale,pia inatumika kutibia hata watu wenye ngiri,sasa sijui hawa wamasai wa mjini wanauza hiyo au wanachanganya na dawa zingine...mkuu uo uchunguzi umeufanyia wapi juu ya mizizi yenye sumu...? nani alikufa baada kunywa dawa za kimasai...? ukipata muda rudi kijijini ukakae na mababu wakufunze...kwa uelewa wangu mdogo akuna watu wenye miti yenye dawa zenye nguvu kama WAMASAI