Josorobert
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 629
- 215
Naanza kuamini kauli ya Zitto kwamva UKAWA ni wasakatonge.
Hata mimi nimeamini Zitto yupo sahihi.
Naanza kuamini kauli ya Zitto kwamva UKAWA ni wasakatonge.
Rekebisha kauli yako usiwasemehe maelfu ya wakazi wa Ubungo
Ubungo hakuna Ukawa??
Je zile kelele zote za Kubenea ni bure??
Cuf/ Chadema.
Hii hali inakuwaje hii
Naanza kuamini kauli ya Zitto kwamba UKAWA ni wasakatonge.
Mchagueni Masaburi, hao wengine wamalize kwanza ugomvi wao
Naanza kuamini kauli ya Zitto kwamba UKAWA ni wasakatonge.
Mchuano umekuwa mkali sana Jimbo la Ubungo kati ya wagombea wawili nafasi ya Ubunge. Mashaka Kangole wa CUF na DIDAS MASABULI- CCM, hata hivo wakazi wa Ubungo wanasema watakuwa makini kufanya maamuzi ya kuchagua Mbunge mwenye sifa stahiki. "Mwaka huu hatufanyi makosa" kauli za baadhi ya wakazi wa Ubungo.
Wana Ubungo wametaabika sana miaka mitano chini ya John Mnyika. Sasa ni zamu ya kurejesha heshima ya jimbo hilo
Tatizo masabur hata muonekano Wa uongozi hana
USIINGILIKE na propaganda hizi mkuuUbungo hakuna Ukawa??
Je zile kelele zote za Kubenea ni bure??
Cuf/ Chadema.
Hii hali inakuwaje hii
Ukawa kumbe bado wana migogoro hadi Ubungo.