MASABURI meya wa jiji la Dar

Didas Masabauri amechaguliwa kuwa meya wa jiji la Dar-es-salaam

We mzima kweli??????????????? nakuona kama unakimbizwa!!!! Uchaguzi ni keshokutwa huyo aatakuwa ameteuliwa na Chama Cha Mafisadi, bado hajawa thibitisha la sivyo tutolee uchizi wako hapa
 
Wewe kweli choka mbaya! Yaani kupitishwa tu na CCM ndo umeona ameshakuwa MEYA? Kama hujui taratibu za uchaguzi wa ma-meya ni vizuri ukatulia kwanza kuliko kukimbilia kupost vitu visivyokuwa na kichwa wala miguu!!
 
Back
Top Bottom