Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
wataalamju naomba kujua haya masaa yanayotumiwa na jamii forum ni yawapi. Au LAPTONGA yangu kimeo. mfano sa hizi ni saa 1549 jJF ni 0234. Hii imekaje jamani
kumbe hapo tuNiko Mji kasoro bahari.
Niko Mji kasoro bahari.
masaa yanatumika hapa ni ya Time zone +3. kwani wewe uko wapi?