Masaa machache yalopita..

Masaa machache yalopita..

mwengeso

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2014
Posts
9,286
Reaction score
6,729
Hii habari nimeipata kwenye mtandao wa kijamii. Ina funzo kwa kila mmoja wetu, tunapokaribia kumaliza mwaka 2017.


"Gari ndogo nililokuwamo nikienda kwenye pilika za maisha ilikuwa speed kama 80/90 hivi....Ghalfa tukamwona Mbwa akijitahidi kushindana na speed ya gari kuvuka barabara....

Sikutamani kabisa kuona akigongwa..na moyoni nikawa natamani ajitahidi kuongeza mwendo..

Gari likiwa limekaribia kabisa ... Nikaona mbwa ameongeza mwendo ghafla na kufanikiwa kuvuka....pumzi ikanishuka.

Lakini kuna kitu tulikiona kimedondoka kabla mbwa hajaweza kuongeza mwendo... Nikamwomba dereva turudi nyuma kidogo...

Nilipoona kitu mbwa alichodondosha... Nikajifunza somo kubwa sana... Hakika Mbwa amenikumbusha kitu kikubwa sana katika tukio hili..

MBWA alidondosha Mfupa wa nyama... Simple... Ilifika mahali mbwa aliona bora aache mfupa apate speed aokoe maisha!!!!!

Hii ni akili kubwa sana

ACHA MFUPA

KUNA MIFUPA TUMEING'ANG'ANIA 2017. TUKIFANIKIWA KUWA JASIRI WA KUACHIA MIFUPA TULOING`ANG`ANIA, MWAKA 2018 TUTAKUWA WA KUJISHANGAZA.

KUNA MIFUPA YA KILA AINA TUMEING`ANG`NIA 2017. NI HAKIKA IMETUKWAMISHA MNOO

HEBU TUFANYE MAAMUZI MAGUMU... TUSIVUKE 2017 NA MIFUPA YETU.

TUIDONDOSHE HARAKA SANA

[/I]1) UZITO TULIONAO WA KUOMBA MSAADA WA MAWAZO NI MFUPA..

2) KUTUMIA MBINU ZILE ZILE ZINAZOSHINDWA NAO NI MFUPA..

3) KUDHANI KWAMBA HELA PEKE YAKE INAWEZA KUKULETEA FURAHA..HUU MFUPA MGUMU SANA

4) KUTO WAHI KAZINI NA KUTOTIMIZA MAJUKUMU YETU IPASAVYO NI MFUPA

5) KUTO HUDHURIA IBAADA/ MSIKITINI HUU HATA FISI HAWEZI KUULA

KUTOKUJIFUNZA KUTOKANA NA MAKOSA NI MFUPA

6) KUFURAHIA KUONA WENZETU WANASHINDWA WAKATI TUNGEWEZA WASAIDIA WAKAFANIKIWA NI MFUPA[/I]

HII NI BAADHI TU YA MIFUPA TULIYO BEBA.

TUDONDOSHE MFUPA....ILI 2018 UKAWE MWAKA WA MAFANIKIO KWA KILA MMOJA WETU

MUAMBIE JIRANI YAKO DONDOSHA MIFUPA INAKUCHELEWESHA.

SIKU NJEMA
 
Hii habari nimeipata kwenye mtandao wa kijamii. Ina funzo kwa kila mmoja wetu, tunapokaribia kumaliza mwaka 2017.


"Gari ndogo nililokuwamo nikienda kwenye pilika za maisha ilikuwa speed kama 80/90 hivi....Ghalfa tukamwona Mbwa akijitahidi kushindana na speed ya gari kuvuka barabara....

Sikutamani kabisa kuona akigongwa..na moyoni nikawa natamani ajitahidi kuongeza mwendo..

Gari likiwa limekaribia kabisa ... Nikaona mbwa ameongeza mwendo ghafla na kufanikiwa kuvuka....pumzi ikanishuka.

Lakini kuna kitu tulikiona kimedondoka kabla mbwa hajaweza kuongeza mwendo... Nikamwomba dereva turudi nyuma kidogo...

Nilipoona kitu mbwa alichodondosha... Nikajifunza somo kubwa sana... Hakika Mbwa amenikumbusha kitu kikubwa sana katika tukio hili..

MBWA alidondosha Mfupa wa nyama... Simple... Ilifika mahali mbwa aliona bora aache mfupa apate speed aokoe maisha!!!!!

Hii ni akili kubwa sana

ACHA MFUPA

KUNA MIFUPA TUMEING'ANG'ANIA 2017. TUKIFANIKIWA KUWA JASIRI WA KUACHIA MIFUPA TULOING`ANG`ANIA, MWAKA 2018 TUTAKUWA WA KUJISHANGAZA.

KUNA MIFUPA YA KILA AINA TUMEING`ANG`NIA 2017. NI HAKIKA IMETUKWAMISHA MNOO

HEBU TUFANYE MAAMUZI MAGUMU... TUSIVUKE 2017 NA MIFUPA YETU.

TUIDONDOSHE HARAKA SANA

[/I]1) UZITO TULIONAO WA KUOMBA MSAADA WA MAWAZO NI MFUPA..

2) KUTUMIA MBINU ZILE ZILE ZINAZOSHINDWA NAO NI MFUPA..

3) KUDHANI KWAMBA HELA PEKE YAKE INAWEZA KUKULETEA FURAHA..HUU MFUPA MGUMU SANA

4) KUTO WAHI KAZINI NA KUTOTIMIZA MAJUKUMU YETU IPASAVYO NI MFUPA

5) KUTO HUDHURIA IBAADA/ MSIKITINI HUU HATA FISI HAWEZI KUULA

KUTOKUJIFUNZA KUTOKANA NA MAKOSA NI MFUPA

6) KUFURAHIA KUONA WENZETU WANASHINDWA WAKATI TUNGEWEZA WASAIDIA WAKAFANIKIWA NI MFUPA[/I]

HII NI BAADHI TU YA MIFUPA TULIYO BEBA.

TUDONDOSHE MFUPA....ILI 2018 UKAWE MWAKA WA MAFANIKIO KWA KILA MMOJA WETU

MUAMBIE JIRANI YAKO DONDOSHA MIFUPA INAKUCHELEWESHA.

SIKU NJEMA
Safi sana mdau,fasihi uliotumia ni tamu sana!
 
Tatzo wanasoma lakini hawaelewi, kuna mwingne anadirik kuingia chooni ter 31/12/2017 at 11:59:59 pm, ter 01/01/2018 mapema analeta uzi kapata mikosi sasa unajiuliza alitarajia nini kusheherekea mwaka mpya akiwa choo anakata gogo, hio si dharau kbsa.
 
Hadithi yako inawafaa sana viongozi wa CCM.
Tupunguze KUWAZA SIASA muda wote ... (asubuhi, mchana, jioni, usiku) yaani muda wote POLITICS tu. It really HINDERS our PROGRESS .... Huo ni MFUPA HATARI hata fisi hauwezi kamwe ....
 
Mwambie magufuli aache mfupa akatubu dhambi
 
Tupunguze KUWAZA SIASA muda wote ... (asubuhi, mchana, jioni, usiku) yaani muda wote POLITICS tu. It really HINDERS our PROGRESS .... Huo ni MFUPA HATARI hata fisi hauwezi kamwe ....
Ni kweli siasa wakati wote mahala popote, hata katika nyumba za ibada ni mfupa mgumu.
 
Hii habari nimeipata kwenye mtandao wa kijamii. Ina funzo kwa kila mmoja wetu, tunapokaribia kumaliza mwaka 2017.


"Gari ndogo nililokuwamo nikienda kwenye pilika za maisha ilikuwa speed kama 80/90 hivi....Ghalfa tukamwona Mbwa akijitahidi kushindana na speed ya gari kuvuka barabara....

Sikutamani kabisa kuona akigongwa..na moyoni nikawa natamani ajitahidi kuongeza mwendo..

Gari likiwa limekaribia kabisa ... Nikaona mbwa ameongeza mwendo ghafla na kufanikiwa kuvuka....pumzi ikanishuka.

Lakini kuna kitu tulikiona kimedondoka kabla mbwa hajaweza kuongeza mwendo... Nikamwomba dereva turudi nyuma kidogo...

Nilipoona kitu mbwa alichodondosha... Nikajifunza somo kubwa sana... Hakika Mbwa amenikumbusha kitu kikubwa sana katika tukio hili..

MBWA alidondosha Mfupa wa nyama... Simple... Ilifika mahali mbwa aliona bora aache mfupa apate speed aokoe maisha!!!!!

Hii ni akili kubwa sana

ACHA MFUPA

KUNA MIFUPA TUMEING'ANG'ANIA 2017. TUKIFANIKIWA KUWA JASIRI WA KUACHIA MIFUPA TULOING`ANG`ANIA, MWAKA 2018 TUTAKUWA WA KUJISHANGAZA.

KUNA MIFUPA YA KILA AINA TUMEING`ANG`NIA 2017. NI HAKIKA IMETUKWAMISHA MNOO

HEBU TUFANYE MAAMUZI MAGUMU... TUSIVUKE 2017 NA MIFUPA YETU.

TUIDONDOSHE HARAKA SANA

[/I]1) UZITO TULIONAO WA KUOMBA MSAADA WA MAWAZO NI MFUPA..

2) KUTUMIA MBINU ZILE ZILE ZINAZOSHINDWA NAO NI MFUPA..

3) KUDHANI KWAMBA HELA PEKE YAKE INAWEZA KUKULETEA FURAHA..HUU MFUPA MGUMU SANA

4) KUTO WAHI KAZINI NA KUTOTIMIZA MAJUKUMU YETU IPASAVYO NI MFUPA

5) KUTO HUDHURIA IBAADA/ MSIKITINI HUU HATA FISI HAWEZI KUULA

KUTOKUJIFUNZA KUTOKANA NA MAKOSA NI MFUPA

6) KUFURAHIA KUONA WENZETU WANASHINDWA WAKATI TUNGEWEZA WASAIDIA WAKAFANIKIWA NI MFUPA[/I]

HII NI BAADHI TU YA MIFUPA TULIYO BEBA.

TUDONDOSHE MFUPA....ILI 2018 UKAWE MWAKA WA MAFANIKIO KWA KILA MMOJA WETU

MUAMBIE JIRANI YAKO DONDOSHA MIFUPA INAKUCHELEWESHA.

SIKU NJEMA

kakobe wa wapili ndani ya jf kapatikana
 
kutembea na wake za watu na waume za watu ni mfupa tena wa kitimoto.
wadada kuacha kutafuta hela na kuegemea kwny kutafuta wasio na vibamia na kila siku kujadili kuhsu vibamia ni lijimfumpaa.
 
Tupunguze KUWAZA SIASA muda wote ... (asubuhi, mchana, jioni, usiku) yaani muda wote POLITICS tu. It really HINDERS our PROGRESS .... Huo ni MFUPA HATARI hata fisi hauwezi kamwe ....
Siasa ni maisha ya kila siku na kila unachokiona mbele yako kinakuwa affected na siasa...... sasa unaposema mtu asiwaze siasa muda wote sijui una maana gani
 
kutembea na wake za watu na waume za watu ni mfupa tena wa kitimoto.
wadada kuacha kutafuta hela na kuegemea kwny kutafuta wasio na vibamia na kila siku kujadili kuhsu vibamia ni lijimfumpaa.
Jiwe limetupwa kizani hilo .... watu wanagugumia kwa maumivu
 
Ila wakuu kukaa na kuamini iko siku Upinzani utakuja kushinda uchaguzi mkuu kwa katiba hii tuliyokuwa nayo naona ni liJImfupa likubwa sana
 
Back
Top Bottom