Hakuna wingi wa saa.Ni kama miezi 3 kwenye social networks nyingine.
Ila JF vivulana vinatongoza sana PM.
Ni kama vimetumwa kunijaribu.
Uko poaππ
Ni kama miezi 3 kwenye social networks nyingine.
Ila JF vivulana vinatongoza sana PM.
Ni kama vimetumwa kunijaribu.
Nimemuona bonge la Phaller huyo raia, anatafuta attention kwetu halafu anakuja tena anatusagia tena kugeuza nyekundu kuwa njano???π€£π€£π€£No kutongoza kawaida , mimi pia natongoza mno pm mkuuπ
Unamchukulia kawaida tu halafu ,upendo unabaki mahali pake mkuuπNimemuona bonge la Phaller huyo raia, anatafuta attention kwetu halafu anakuja tena anatusagia tena kugeuza nyekundu kuwa njano???π€£π€£π€£
NakaziaKwa jina la "Mshangazi" wewe mwenyewe unataka kutongozwa.
Kabisa mkuu hii code hata mimi nimeifungua japo ni kilazaπNakazia
Huyu n mkongweKabisa mkuu hii code hata mimi nimeifungua japo ni kilazaπ
Tunaelewa ila tunavunga tu mkuuπHuyu n mkongwe
Aaaaaah naona naona mshangazi anatafuta kijana ...Hivi dogo Poor Brain umeuona huu uzi ? Wa Mshangazi ???
Bora umekuja King wa mishangazi πAaaaaah naona naona mshangazi anatafuta kijana ...
ππππ
Ila anatumua njia flani hvi ambayo wataalamu tumeelewa
Mkuu mi nipo sana tu l...Bora umekuja King wa mishangazi π
Unamwonaje huyu mshangazi Mkuu?Mkuu mi nipo sana tu l...
Sema shangazi kanibana mnoooo.
πππππ
Mkuu kwani upweke ni nini?Kwahiyo hapo sitarajii nyuzi za akina Andazi mara ooh mm ni mpweke mara ooh sina demu HATUTAKI mada za ivo saivii
Anapitia upepo wa waliolazimika kujisajili baada ya kuview post kadhaa bila kuwa na akaunti.Tunaelewa ila tunavunga tu mkuuπ
Mshangazi hata avatar yake haivutii, binafsi siwezi mfuata kamweπ π πAnapitia upepo wa waliolazimika kujisajili baada ya kuview post kadhaa bila kuwa na akaunti.
Sizani kama anajiamini...Unamwonaje huyu mshangazi Mkuu?