Marvel wamethibitisha kua kutakua namwendelezo wa muvi ya Black Widow baada ya hii inayotoka mwakani..so tutegemee kuona Time travelling ikimrudisha bidada
Nami nahisi hvo mkuu.. mmmh japo utabiri wangu kwenye Endgame umekosa point kidogo tu!
Ila bana soko halitabiriki sikuamini kama Maleficient ingekaa wiki nzima hata hela ya bajet haijarudi
Nami nahisi hvo mkuu.. mmmh japo utabiri wangu kwenye Endgame umekosa point kidogo tu!
Ila bana soko halitabiriki sikuamini kama Maleficient ingekaa wiki nzima hata hela ya bajet haijarudi
Kwa Gemin man mm nashukuru wamerudisha pesa yao ya bajet.. mwanzo ilikua imegoma kabisa. Zombie land Double Tap nayo imeingiza kidogo. Joker inazidi chapa maji inakaribia 1B out of 55m budget
Kwa Gemin man mm nashukuru wamerudisha pesa yao ya bajet.. mwanzo ilikua imegoma kabisa. Zombie land Double Tap nayo imeingiza kidogo. Joker inazidi chapa maji inakaribia 1B out of 55m budget
Mimi naona MCU inakua tamu zaidi maana characters wengi wanarudi.. Daah Mungu atupe uhai tu.
DC napenda Joker tu.
Ila ngoja tuone mwakani RDj ataifikisha wapi dolittle
Mimi naona MCU inakua tamu zaidi maana characters wengi wanarudi.. Daah Mungu atupe uhai tu.
DC napenda Joker tu.
Ila ngoja tuone mwakani RDj ataifikisha wapi dolittle